Habari zenu wanajamvi,
Naombeni mnijuze kwa mitizamo yenu, kuna tatizo gani mpenzi wako akikupa pesa nawe ukaihesabu hapohapo kujua ni kiasi gani, nimekua nikiona wengi sana sana wadada yaani akipewa tu yeye anaihifadhi halafu anaenda kuhesabia mbele baada ya kuachana na aliyempa. Kwani kuna tafsiri gani hapo kama utaamua kuhesabu misimbazi yako ujue kama imekidhi maombi/makubaliano? Nipeni mitizamo yenu ili nifahamu kama huwa nakosea kufanya mahesabu yangu hapo mbele yake maana kuna ndugu mmoja akiwepo huwa ananikata jicho flan hiv huwa silielewi kabisaa.
Naombeni mnijuze kwa mitizamo yenu, kuna tatizo gani mpenzi wako akikupa pesa nawe ukaihesabu hapohapo kujua ni kiasi gani, nimekua nikiona wengi sana sana wadada yaani akipewa tu yeye anaihifadhi halafu anaenda kuhesabia mbele baada ya kuachana na aliyempa. Kwani kuna tafsiri gani hapo kama utaamua kuhesabu misimbazi yako ujue kama imekidhi maombi/makubaliano? Nipeni mitizamo yenu ili nifahamu kama huwa nakosea kufanya mahesabu yangu hapo mbele yake maana kuna ndugu mmoja akiwepo huwa ananikata jicho flan hiv huwa silielewi kabisaa.