Habari zenu wanajamvi,
Naombeni mnijuze kwa mitizamo yenu, kuna tatizo gani mpenzi wako akikupa pesa nawe ukaihesabu hapohapo kujua ni kiasi gani, nimekua nikiona wengi sanasana wadada yan akipewa tu yeye ana ihifadhi halafu anaenda kuhesabia mbele baada ya kuachana na aliyempa. Kwani kuna tafsiri gani hapo kama utaamua kuhesabu misimbazi yako ili ujue kama amekidhi maombi/makubaliano? Nipeni mitizamo yenu ili nifahamu kama huwa nakosea kufanya mahesabu yangu hapo mbele yake.
Naombeni mnijuze kwa mitizamo yenu, kuna tatizo gani mpenzi wako akikupa pesa nawe ukaihesabu hapohapo kujua ni kiasi gani, nimekua nikiona wengi sanasana wadada yan akipewa tu yeye ana ihifadhi halafu anaenda kuhesabia mbele baada ya kuachana na aliyempa. Kwani kuna tafsiri gani hapo kama utaamua kuhesabu misimbazi yako ili ujue kama amekidhi maombi/makubaliano? Nipeni mitizamo yenu ili nifahamu kama huwa nakosea kufanya mahesabu yangu hapo mbele yake.