Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
mwambie huyo rafikiyo kazi za kufanya ni nyingi sana. I have many friends in that department wanalia njaa mno na wengine mnawaona kila siku wanatembea na wakubwa na wanasimama nyuma ya waungwana wanapohutubu. secrecy doesn't mean good life unless unataka waranty to ya kutongozea, maana machangudoa ukiwaambia mimi ni usalama wa taifa wanakuvulia nguo haraka.
advise your friend to seek a real career, si hiyo. Akiingia huko katika bajeti yako itakulazimu umwingize naye, maana maisha yatampiga kinoma.
hahahaha......akiingia huko lazima nimpotezee....mambo ya kuhamishiana majukumu watoto wa kiume siyafagilii kabisa yani....ila nadhani dogo yupo kizalendo zaidi