Elections 2010 Kuharibu vipeperushi vya wagombea wenzako si ni uchokozi?

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,903
1,053
attachment.php


attachment.php


attachment.php


Jamani Hivi kuchana vipeperushi vya mgombea mwenzako si ni kitendo cha uchokozi na uvunjifu wa sheria?

Kama ilivyokutwa mjini Bukoba mgombea wa chama cha mapinduzi amekuwa akichana vipeperushi vya wagombea wenzake (CUF na Chadema) na kuweka juu ya vipeperushi hivyo picha zake.

Huyu ni waziri mdogo wa mambo ya ndani na anafanya hivi akijua kuwa ni kuvunja sheria. Je aweza kuwa anafanya hivi kwa kutumia madaraka aliyonayo sasa?

Je wengine nao wakifanya anachofanya yeye nini itakuwa matokeo?

Tume ya uchaguzi kwa jambo hili mwasemaje? Je ni haki? Jamani wanaojua sheria za uchaguzi tupeni shule kabla jamaa hajaanza kushughulikiwa.
 

Attachments

  • DSC07209 i.jpg
    DSC07209 i.jpg
    25.8 KB · Views: 175
  • DSC07152 i.jpg
    DSC07152 i.jpg
    28.3 KB · Views: 176
  • DSC07151 i.jpg
    DSC07151 i.jpg
    35.9 KB · Views: 176
Na za mgomea wa CCM zichanwe iwe droo. Au yeye kaziwekea ulinzi wa Polisi? Naona pamoja na gundi anaimarisha za kwake na kamba.
 
Nimesoma habari kuwa kuna mtu kashitakiwa kwa kosa la kuchana kipeperushi huko mkoani Mara.
Tena nasikia kosa la kuchana kipeperushi ni shillingi 5,000,000 je ni kweli? Mwenye habari anitonye
 
Back
Top Bottom