Kuharibika kwa mfumo wa ajira kumeangusha taifa kiuchumi kisiasa na kiutamaduni na CCm inaporomoka na madhira haya.Kwa kawaida state ina nafasi nzuri ya kupick best intellectuals kuliko sekta binafsi, tabia ya kuweka vimemo kwenye baadhi ya application au big people kuingilia mchakato wa ajira ili kuwa fouvor baadhi ya candidate kumefanya 70% ya watumishi wa umma kutotosha(refers Mussa Assad ),kwenye uchumi wa kissable government ni regulator wa kila kitu huwezi kuwatoa ambao ni less intelligent kuwaregulate magnius,jambo lapili hao wasiotosha ndiyo watendaji wanaowashauri wanasiasa sasa fikiria hiyo fyongo.
Nahilo ndiyo linalo tokea CCM kuna kubebena kwingi competitive personal wanaachwa kwa ajiri nitandao udugu na urafiki na maslai ya wastaafu wanao tummy chama kama sahani yao. Leo hii ccm sio ya kushindwa kujibu hoja kwa chadema na kutumia polisi,mama ndiyo kaingizwa chaka kabisa mwenezi na katibu hawatoshi.
Nahilo ndiyo linalo tokea CCM kuna kubebena kwingi competitive personal wanaachwa kwa ajiri nitandao udugu na urafiki na maslai ya wastaafu wanao tummy chama kama sahani yao. Leo hii ccm sio ya kushindwa kujibu hoja kwa chadema na kutumia polisi,mama ndiyo kaingizwa chaka kabisa mwenezi na katibu hawatoshi.