OCD wa Wilaya ya Hai alihamishiwa Kilosa mwezi wa 12, huyu alikuwa sehemu ya Wilaya ya Hai kutokuwa tulivu kisiasa wakishirikiana na DC sasa amehamishwa ila pamoja na kupewa barua ya uhamishwa alikuwa bado ana panchi ili asihame tukahisi kuna maslahi mapana sana ila hatimaye amehama.
Je, utulivu utaendelea na matukio yatakwisha? Au kuna mtu lazima ahamishwe pia ndio pawepo na utulivu katika wilaya hiyo.
Je, utulivu utaendelea na matukio yatakwisha? Au kuna mtu lazima ahamishwe pia ndio pawepo na utulivu katika wilaya hiyo.