Kuhamisha Wamachinga kwa kuvunja miundombinu yao na kupora mali zao ni uhalifu kwa DSM na Mwanza

Ni takribani wiki mbili sasa wafanyabiashara ndogo-ndogo (wajasiriamali au wamachinga) waliagizwa na serikali za mikoa mbalimbali kuhama kutoka katikati ya miji mikubwa na ama kuelekezwa wapi waende au bila kupewa eneo mbadala na rafiki kwa biashara.

Wamachinga walitoa mawazo yao ili kufanikisha utekelezaji na mipango hiyo ya serikali kuwa na mafanikio ni pamoja na haja ya wao kushirikishwa ipasavyo kwa mjibu wa sheria.

Hata hivyo mawazo na mapendekezo yao yalipuuzwa na kuhesabika sio ya msingi na hayana nafasi kukubaliwa kinyume na jinsi serikali ilivyopanga kufanya.

Ikumbukwe kuwa kupanga miji kuwa safi kuweka taratibu za kufanikisha hilo haziwezi kuwa na tija kama tabia za uchafuzi wa mazingira hazijadhibitiwa.

Mji wa Mzizima (Dar es Salaam) ulianzishwa mwaka 1866 na sultani wa Zanzibar

Viongozi wa mikoa ya Dar Es Salaam na Mwanza mmekosea njia ya isiyo ya kistaarabu kuwahamisha wamachinga kwa kuvunja sehemu zao za kazi kisha mali kuporwa na watu mliowatuma kutekeleza uharibifu huo.

Vijana wapoteza mali zao kwa hatua zinazovunja haki za binadamu na hazikubaliki popote. Machozi yao yatawatesa maisha yenu yote
rubbish
 
Ni takribani wiki mbili sasa wafanyabiashara ndogo-ndogo (wajasiriamali au wamachinga) waliagizwa na serikali za mikoa mbalimbali kuhama kutoka katikati ya miji mikubwa na ama kuelekezwa wapi waende au bila kupewa eneo mbadala na rafiki kwa biashara.

Wamachinga walitoa mawazo yao ili kufanikisha utekelezaji na mipango hiyo ya serikali kuwa na mafanikio ni pamoja na haja ya wao kushirikishwa ipasavyo kwa mjibu wa sheria.

Hata hivyo mawazo na mapendekezo yao yalipuuzwa na kuhesabika sio ya msingi na hayana nafasi kukubaliwa kinyume na jinsi serikali ilivyopanga kufanya.

Ikumbukwe kuwa kupanga miji kuwa safi kuweka taratibu za kufanikisha hilo haziwezi kuwa na tija kama tabia za uchafuzi wa mazingira hazijadhibitiwa.

Mji wa Mzizima (Dar es Salaam) ulianzishwa mwaka 1866 na sultani wa Zanzibar

Viongozi wa mikoa ya Dar Es Salaam na Mwanza mmekosea njia ya isiyo ya kistaarabu kuwahamisha wamachinga kwa kuvunja sehemu zao za kazi kisha mali kuporwa na watu mliowatuma kutekeleza uharibifu huo.

Vijana wapoteza mali zao kwa hatua zinazovunja haki za binadamu na hazikubaliki popote. Machozi yao yatawatesa maisha yenu yote
Government is a coercive apparatus ,kama huwezi kutii sheria bila shuruti wa kukubeleza ni Mkeo/ mumeo baada ya kushughulikiwa.

Kwani machinga ni special Sana kwenye hii nchi kwamba wanaweza kujiamulia kufanya lolote walitakalo?
 
Back
Top Bottom