JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,510
- 7,541
wadau wa JF,ninatatizwa na hili. kituo nilichoandikishia kupiga kura 2005 ni chuo kikuu cha DSM jimbo la Ubungo wakati huo naishi maeneo ya jirani.sasa ninaishi Kimara jimbo hilo hilo la Ubungo. sasa naomba nifahamu siku ya uchaguzi nitapigia kura wapi? ni chuo au kituo cha karibu huko Kimara ninapoishi sasa?