nadhani inawezekana, angalia tangazo la udahili kwa duru la tatu katika ukurasa wa tcu
Haiwezekan!
Mgomo wenu umefikia wapi?
Rejea kichwa cha hbr hapo juu...km umepangiwa na tcu cbe dar na una loan ila binafsi unaitaji kwnd cbe dom inawezekana kwl wana jf?