ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,455
Wakati mwingine huwa najiuliza jambo na nashindwa kuelewa kwanini yanayotokea haya
mwishoni au mwanzoni mwa mwezi kuna kisa ama nikiite kioja cha aina yake kilichotokea cha kusikitisha na kuwasha masikio yote yakabaki yanarindima, huo mshangao wenyewe kwanije mambo haya yanatokea.
mwenzenu imebidi niandike hapa eti kugusa na kuguswa kuna fanya mtu ashindwe kuvumilia na kuanza kufanyia Mungu dhambi kiasi kile wale watu wana familia zao wanakwenda kulandana kiasi kile wanafundisha nini watoto wetu wa siku hizi
kweli imenishangaza sana KUGUSA NA KUGUSANA KUNA MAANA GANI? PLS WANAJF NIJIBUNI HAPA LETENI HOJA ZENU
mwishoni au mwanzoni mwa mwezi kuna kisa ama nikiite kioja cha aina yake kilichotokea cha kusikitisha na kuwasha masikio yote yakabaki yanarindima, huo mshangao wenyewe kwanije mambo haya yanatokea.
mwenzenu imebidi niandike hapa eti kugusa na kuguswa kuna fanya mtu ashindwe kuvumilia na kuanza kufanyia Mungu dhambi kiasi kile wale watu wana familia zao wanakwenda kulandana kiasi kile wanafundisha nini watoto wetu wa siku hizi
kweli imenishangaza sana KUGUSA NA KUGUSANA KUNA MAANA GANI? PLS WANAJF NIJIBUNI HAPA LETENI HOJA ZENU