Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kuna madai kuwa chanjo ya corona si salama na maneno mengine mengi tu kuhusu dawa hiyo. Hata hivyo, ukiwaambia wahusika watoe uthibitisho juu ya madai hayo, kamwe hawawezi kufanya hivyo.
Swali nalojiuliza, kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini tunashindwa kuzithibitisha na tuna ma-doctor na ma-proffesor kibao, huu si uthibitisho kuwa elimu yetu ni ya kwenye makaratasi tu?
Nilitarajia wasomi wetu waje na details za kitaalamu kuwaumbua wazungu kama tulvyowaumbua kwenye makinikia ila sijui tunakwama wapi!
Kingine: Vyuo vikuu vyetu vimefanya nini au vimefikia hatua gani katika kutafuta chanjo au dawa ya corona?
Na serikali hii inatenga/ imetenga fedha kiasi gani kugharamia ugunduzi wa dawa na chanjo ya corona?
Je, tunasubiri wazungu wagundue dawa/ chanjo then watuuuzie?
Je, hii si moja ya sababu kwanini sisi tutaendelea kuwa masikini huku wenzetu wakiendelea kuwa matajiri?
Swali nalojiuliza, kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini tunashindwa kuzithibitisha na tuna ma-doctor na ma-proffesor kibao, huu si uthibitisho kuwa elimu yetu ni ya kwenye makaratasi tu?
Nilitarajia wasomi wetu waje na details za kitaalamu kuwaumbua wazungu kama tulvyowaumbua kwenye makinikia ila sijui tunakwama wapi!
Kingine: Vyuo vikuu vyetu vimefanya nini au vimefikia hatua gani katika kutafuta chanjo au dawa ya corona?
Na serikali hii inatenga/ imetenga fedha kiasi gani kugharamia ugunduzi wa dawa na chanjo ya corona?
Je, tunasubiri wazungu wagundue dawa/ chanjo then watuuuzie?
Je, hii si moja ya sababu kwanini sisi tutaendelea kuwa masikini huku wenzetu wakiendelea kuwa matajiri?