Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,698
Ni wanandoa kwa miaka 15 sasa, kwa miaka 4 mume alikuwa na nyumba ndogo (jirani yake) bila mke kujua. Mke alipogundua alifungasha virago kutaka kurudi kwao ila mume alimzuia na kumuomba msamaha. Mke hakukubali msamaha kirahisi hivyo mume aliwashirikisha baadhi ya marafiki zake wa karibu kumshawishi mkewe kukubali msamaha wake. Mke akamsamehe yakaisha. Baada ya msamaha mume amebadilika hatoi matumizi kwa familia kuanzia chakula, matibabu na ada. Haki ya ndoa kwa mke imekuwa msamiati. Mke amedata anaona ndoa chungu na amekata tamaa.
Waungwana naomba tumshauri wenzetu. (Ni ndg yangu wa karibu).
Waungwana naomba tumshauri wenzetu. (Ni ndg yangu wa karibu).