Kufyatua tofali au kununua, kipi bora?

Kuna faida na hasara ktk yote mawili ila kununua tofali ni bora zaidi ila zingatia ubora wa matofali
 
Kama unahitaji matofali mengi sana let say kuanzia matofali elfu kadhaa kufatua mwenyewe tena kwa kukodi mashine it better choice ila ni lazima usimamie mwenyewe katika ubora wa mchanga cement maji ya kumwagilia na storage ya hayo matofali ukishindwa hapo utaingia hasara kubwa
 
Habari Ndugu, Naomba Kupata Ukweli Hivi Nitaokoa Kiasi Gani Ninapoaamua Kufyatua Mwenyewe Tofari Au Kununua.
inategemeana na upatikanaji wa rasilimali na vifaa vya kufyatulia tofali, nguvukazi (vijana wa kufanya kazi) na muda wa wewe kusimamia zoezi zima la ufyatuaji. ila kununua pia sio mbaya kama huna muda wa kusimamia mradi wako.
anayefyatua anakuuzia kwa faida so kama unaweza fanya mwenyewe utasevu zaidi na una uhakika wa ratio ya mchanga-saruji (uimara wa tofali)
 
Kununua ni bora. Kwanza huna presha za kutafuta mtu wa kufyatua, ooo mara kabania cement kaweka ratio tofauti mchanga umezidi, umakini wa kuyamwagilia.
Nakushauri nunua, tena kama uko sehemu ambayo SUMA JKT wana huo mradi basi nunua kwao, tofali ni chuma, mafundi wakiligonga linatoa cheche za moto
 
Ni watengeneza tofali wachache mno wanatengeneza tofali bora, wengi wao ni usanii tupu, kama kuna uwezekano wa kupata tofali nzuri..nunua,
 
Back
Top Bottom