jahanbaksh
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 103
- 127
Hilo group la ivory coast ambaye ni host inakuaje apo. Yani watafuzu wangapi kwenye hilo kundi
Unajua maana ya AFCON ama ndo umeanza shabikia mpira siku izi?Huku wataleta wale ambao ni average tu. Time will tel.
Match zinaanza lini?
Anafuzu mmoja tuuHilo group la ivory coast ambaye ni host inakuaje apo. Yani watafuzu wangapi kwenye hilo kundi
we umeona mbali.ukaeka upenzi kandoNaona mashabiki mna mizuka mnajipa moyo, ila hilo kundi ni gumu kinyama