kaka-blaza
Member
- Nov 7, 2019
- 84
- 124
Ni dhahiri kuwa timu ya Taifa kwasasa ipo kwenye kiwango kizuri sana (kinavutia).
Leo tarehe 19.11.2019 majira ya saa 22:00 timu yetu ya taifa (taifa stars) itashuka dimbani kumenyena na Libya ni katika harakati za kuwania kufuzu kucheza fainali za AFCON mwaka 2021.
Taifa Stars ambayo ilimpiga Equatorial Guine katika game ya kwanza iliyochezwa nyumbani katika dimba la Mkapa, itakuwa ikitafuta kufuzu kwa mara ya pili mfululizo kushiriki mashindano hayo makubwa ya mpira wa miguu kwa ngazi ya mataifa katika ukanda huu wa Afrika.
Mungu Ibariki Tanzania , Mungu IBARIKI Taifa Stars..
UPDATES
Msimamo wa Kundi J baada ya michezo ya leo
Leo tarehe 19.11.2019 majira ya saa 22:00 timu yetu ya taifa (taifa stars) itashuka dimbani kumenyena na Libya ni katika harakati za kuwania kufuzu kucheza fainali za AFCON mwaka 2021.
Taifa Stars ambayo ilimpiga Equatorial Guine katika game ya kwanza iliyochezwa nyumbani katika dimba la Mkapa, itakuwa ikitafuta kufuzu kwa mara ya pili mfululizo kushiriki mashindano hayo makubwa ya mpira wa miguu kwa ngazi ya mataifa katika ukanda huu wa Afrika.
Mungu Ibariki Tanzania , Mungu IBARIKI Taifa Stars..
UPDATES