Kufutwa.

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
7,514
6,488
Jamani kwa uzoefu wangu toka nianze mapenzi mpaka sasa nimeoa, mara zote baada ya kufanya mapenzi wanawake hunifuta vizuuuri sehemu nyeti alafu na kujifuta wao pia. Sasa sijui wanafundishwa au ni nature inayowaalekeze kubeba jukumu la kumfuta mwanaume, (sijawahi wauliza). Ila mimi napenda sana this kind of care. Hata ukienda kwa changudoa ndie atakutoa condom(Please Papa Mt. karuhusu) na pengine kukupukuta. Ninachotaka kujua ni je kuna wengine mambo ni tofauti, yaani demu hakufuti au man ndie anamfuta demu seheme nyeti baada shughuli, au kila mtu anajihudumia kivyake?

Mtanisamehe kama hii mada ilishajadiliwa na mimi sikuiona.
 
duuuhhh kwanza kabisa karibu sana ..
halafu hili jina la Chapa Kazi... Kuna mtu mwingine alitumia...

nway kujibu swali lako inategemea mmemaliza kivipi...
na kila wakati inaweza kuwa tofauti...
mi binafsi mambo ya kufutana siyapendi..
nataka kuingia/tuingie bafuni...
kila mtu ni tofauti...
si ajabu wengine wanapenda kuiacha ikaukie...lol
 
Afrodenzi nilishabisha hodi jana na kwamba mimi ni msomaji wa mda mrefu wa JF. Unaposema wengine wapenda yakaukie, una maana yale maji ya Mleba Guest House wengine ni perfume kwao?
 
There is no formula katika hili. Mimi kawaida yangu baada ya kumaliza shughuli inabidi mpenzi ashike mike akaushe na mimi naingia chumvini kukausha.
 
Mimi katika pitapita zangu ni mmoja tu ndo alikuwa akinifuta wengine wote wanajifuta wenyewe wengine wanaacha ikauke..
 
There is no formula katika hili. Mimi kawaida yangu baada ya kumaliza shughuli inabidi mpenzi ashike mike akaushe na mimi naingia chumvini kukausha.

yessreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeediiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
na wale wanawake kwa wanawake nani anamuanza mwenzake
kwako

shetan 2
 
jamani kwa uzoefu wangu toka nianze mapenzi mpaka sasa nimeoa, mara zote baada ya kufanya mapenzi wanawake hunifuta vizuuuri sehemu nyeti alafu na kujifuta wao pia. Sasa sijui wanafundishwa au ni nature inayowaalekeze kubeba jukumu la kumfuta mwanaume, (sijawahi wauliza). Ila mimi napenda sana this kind of care. Hata ukienda kwa changudoa ndie atakutoa condom(please papa mt. Karuhusu) na pengine kukupukuta. Ninachotaka kujua ni je kuna wengine mambo ni tofauti, yaani demu hakufuti au man ndie anamfuta demu seheme nyeti baada shughuli, au kila mtu anajihudumia kivyake?

Mtanisamehe kama hii mada ilishajadiliwa na mimi sikuiona.
1.fanya vile roho inapenda. Kama unataka kufutwa mwombe mwenzio atakufanyia
2.kama ulivaa kondomu, hapo haina uchaguzi, akufute na aitoe kondomu mwenyewe vinginevyo ukijifuta au kuivua mwenyewe rahisi kuambukizwa hiv.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom