Kufutwa Road Licence: Je, Yono auction mart kupunguza wafanyakazi?

Martin George

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,695
1,470
Kufutwa kwa m/v road licence kunaelekea kutapunguza ajira baada ya wafanyakazi wa Yono waliopewa tends ya kukagua nagari kudai wanaweza kupoteza ajira. Source mfanyakazi wa Yono.
 
Na wafutwe tu warudi uraiani waisome namba ... maana walikuwa wanakera sana
 
Siwataki hata kuwasikia hawa majamaa, wanajfanya wajuaji na wanok sana. Kwisha habari zao, wasubr mpaka benki imdai mtu wakapge mnada nyumba za watu. Hii bongo usijifanye mjuaji, eti wanajifanya polisi huku hata SMG hawajui ina risasi ngapi!
Mara eeeehhh sisi n TRA , onyesha kitambulisho wanaanza kuhaha
 
Siwataki hata kuwasikia hawa majamaa, wanajfanya wajuaji na wanok sana. Kwisha habari zao, wasubr mpaka benki imdai mtu wakapge mnada nyumba za watu. Hii bongo usijifanye mjuaji, eti wanajifanya polisi huku hata SMG hawajui ina risasi ngapi!
Mara eeeehhh sisi n TRA , onyesha kitambulisho wanaanza kuhaha
Haahahaaa tuwe na Huruma jamani
 
Back
Top Bottom