Kufutwa mbio za Mwenge mwanzo wa anguko la CCM

Tangu enzi za Mwl. Nyerere hadi utawala wa Rais Magufuli Mwenge umekuwa ukikimbizwa maeneo yote ya Tanganyika na Zanzibar.

Mbio za Mwenge ni ibada kama zilivyo ibada za imani nyingine. Unaposhiriki mbio za Mwenge unafanya Ibada usiniulize kama ni sahihi au batili inategemea mtazamo wako.

Ninaamini Mwenge umekuwa ukipumbaza waTanzania namna ya kufikiri na kuamua kwa miongo mingi.

Mwaka huu mbio za Mwenge zilisitishwa kwasababu ya mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19. Mwaka huu Tanzania inatarajiwa kufanya Uchaguzi Mkuu Mwezi Oktoba kafara la Mwenge halitakuwepo hivyo kupelekea wapiga kura wengi kutumia akili zao sawa sawa na mapenzi ya Mungu.

Ngongo safarini Kilombero
Thubutuuuuu!
 
Back
Top Bottom