Muk
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 547
- 70
Inasikitisha sana kwa wajumbe wa bunge maalumu la katiba kufuta kwa vipengele vya mbunge kuwajibishwa na wananchi walio mchagua kwa kushindwa kutimiza majukumu yake na kile kipengele cha ukomo wa ubunge kwa miaka 15 chanzo itv news saa mbili usiku
ihi kweli wale walio out ya bunge hilo na walio ndani ni nani mwenye uloho wa madaraka? Inasikitisha sana.
ihi kweli wale walio out ya bunge hilo na walio ndani ni nani mwenye uloho wa madaraka? Inasikitisha sana.