GRAPHICS DESIGN
Senior Member
- May 28, 2014
- 103
- 39
Habari ndugu zangu,
Jana mida ya jioni nilipigiwa simu kutaarifiwa kuwa usaili uliofanyika awali kwa kanda hiyo hapo jijini Tanga umefutwa hivyo tunatakiwa kufika Jumamosi tarehe 13 Julai 2019 kwa ajili ya usaili tena.
Swali, je taarifa hizi ni za ukweli?
Jana mida ya jioni nilipigiwa simu kutaarifiwa kuwa usaili uliofanyika awali kwa kanda hiyo hapo jijini Tanga umefutwa hivyo tunatakiwa kufika Jumamosi tarehe 13 Julai 2019 kwa ajili ya usaili tena.
Swali, je taarifa hizi ni za ukweli?