Kufutwa kesi ya Mbowe ni ushahidi kuwa kila mhimili uko huru na imara hauingiliwi na mhimili mwingine

Sijajua hasa shida ni nini hasa iliyosababisha uwezo wako umedondoka kama nazi. Jee ni uzee unakukabili au ulipoamua kuuza uhuru wako kwa kugombea Kawe kupitia chama kinachotoa nafasi kwa sharti la kuweka ubongo kabatini?
Mbona wapo waandishi wamekuwa wazee na umahiri ndio umeongezeka? (eg. Ulimwengu) na wapo waliogombea kupitia chama chako na bado afya ya akili ni imara?
Ndugu yangu Pasco, itunze heshima uliyoijenga siku nyingi kwa kuandika ukweli.
Mkuu Chakaza , hili la uzee linawezekana maana nimeikata 50 kitambo, naitafuta 60!.

Siku zote humu jf, mimi kosa langu ni moja tuu, na hili nitaingia nalo kaburini.
Kosa lenyewe ni kusema ukweli daima no matter what.

Kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, DPP pekee ndie hutoa Nolle. Hivyo aliye muachia Mbowe ni DPP, huo ukweli wenyewe.
P
 
Mkuu Chakaza , hili la uzee linawezekana maana nimeikata 50 kitambo, naitafuta 60!.

Siku zote humu jf, mimi kosa langu ni moja tuu, na hili nitaingia nalo kaburini.
Kosa lenyewe ni kusema ukweli daima no matter what.

Kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, DPP pekee ndie hutoa Nolle. Hivyo aliye muachia Mbowe ni DPP, huo ukweli wenyewe.
P
.kuu wangu Pascal Mayalla sina maana ya kuku offend kuhusu umri maana mimi nawe tuko kapu moja, yaani 60 ni around the corner.
Hata hilo la DPP kuwa ndiye amemuachia Mbowe ni sahihi kabisa na sheria inasema yuko huru na hahojiwi sababu ni nini kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.
Hivyo ndivyo vitabu vyetu vinasema.
Jee uhalisia uko hivyo? Jee DPP wetu ofisi yake iko huru kama sheria zetu zinavyosema?
Hapo ndipo "mkongwe" ulipaswa ujikite na kutoa maoni yako ya ukweli uliopo badala ya kutamka tuu yaliyoandikwa na vitabu vyetu.
Nadhani tupo pamoja, huko uwanjani wote tunajua ofisi ya DPP (kwa sasa) haiko huru na ndio maana Katiba ibadilishwe ili DPP asiwe mtu wa kupatikana kwa uteuzi kama sasa.
Tutudishe ile JF yetu ya zamani ambayo kuanzia magogoni hadi mjengoni walikuwa wanakesha kuperuzi na tulisaidia sana taifa.
 
unafuga komwe limejaa kamasi tu, nani kasema Uhuru wa mahakama unapimwa kwa DPP kufuta kesi kwanini asiache kesi imalizike au kwanini anafuta kesi baada ya upande wa jamhuli kumaliza kutoa ushahidi na je nini kingetokea baada ya utetezi kutoa ushahidi wao?
Screenshot_20220305-115333.png
 
Kufutwa kesi ya Mbowe ni ushahidi kuwa kila mhimili uko huru na imara hauingiliwi na mhimili mwingine

Jaji Tiganga alisimama kidete kama mhimili huru kusema Mbowe na wenzie wana kesi ya kujibu waanze kujitetea kutokana ushahidi uliopatikana

Mhimili wa Serikali ukiwa huru ambao ndio washitaki wakasema hatuna mpango wa kuendelea na hii kesi.Jaji akasema sawa nyie si ndie washtaki.

Ingekuwa mahakama inaingiliwa na Serikali jaji Tiganga siku ya kuamua kama kuna kesi au la kama Serikali na mahakama ni kitu kimoja angemwachia Mbowe na wenzie kuwa ushahidi hautoshi hawana kesi ya kujibu

Wale mnaosema Serikali inamiliki mahakama jifunzeni kupitia hii kesi Mahakama imeonyesha kuwa iko huru haiyumbishwi na Serikali muhimili mwingine
Unakumbuka usemi kuwa Kwa kupitia Kwa haraka haraka 1500 pages naona Kuna kesi ya kujibu. Hapa tuutafute uhuru kwanza tukiupata au japo kuuona kwa tochi , Rudi tusemezane🤔 .
 
Kufutwa kesi ya Mbowe ni ushahidi kuwa kila mhimili uko huru na imara hauingiliwi na mhimili mwingine

Jaji Tiganga alisimama kidete kama mhimili huru kusema Mbowe na wenzie wana kesi ya kujibu waanze kujitetea kutokana ushahidi uliopatikana

Mhimili wa Serikali ukiwa huru ambao ndio washitaki wakasema hatuna mpango wa kuendelea na hii kesi.Jaji akasema sawa nyie si ndie washtaki.

Ingekuwa mahakama inaingiliwa na Serikali jaji Tiganga siku ya kuamua kama kuna kesi au la kama Serikali na mahakama ni kitu kimoja angemwachia Mbowe na wenzie kuwa ushahidi hautoshi hawana kesi ya kujibu

Wale mnaosema Serikali inamiliki mahakama jifunzeni kupitia hii kesi Mahakama imeonyesha kuwa iko huru haiyumbishwi na Serikali muhimili mwingine
Acha upotoshaji..
Mihimili ya mahakama na Bunge ni vibaraka wa mhimili uliojichimbia chini zaidi.
Ndugai shahidi
 
Mkuu Chakaza , hili la uzee linawezekana maana nimeikata 50 kitambo, naitafuta 60!.

Siku zote humu jf, mimi kosa langu ni moja tuu, na hili nitaingia nalo kaburini.
Kosa lenyewe ni kusema ukweli daima no matter what.

Kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, DPP pekee ndie hutoa Nolle. Hivyo aliye muachia Mbowe ni DPP, huo ukweli wenyewe.
P
Labda mkuu una definition tofauti ya 'Ukweli'
Dpp anamuachiaje mbowe wakati mahakama tayari imenuona ana kesi ya kujibu?
Heshima yako kwangu ni kubwa sana , na niseme tu napata tabu sana kuamini , kuwa ni wewe haswa unaandika kinafiki hivi.
 
Labda mkuu una definition tofauti ya 'Ukweli'
Dpp anamuachiaje mbowe wakati mahakama tayari imenuona ana kesi ya kujibu?
Heshima yako kwangu ni kubwa sana , na niseme tu napata tabu sana kuamini , kuwa ni wewe haswa unaandika kinafiki hivi.
Hivyo bado unachuki na mwamba, Hadi unapata stress ACHA hizo utafupisha maisha yako bureee⛹️
 
Hivyo bado unachuki na mwamba, Hadi unapata stress ACHA hizo utafupisha maisha yako bureee
You got me wrong dude !
Sina chuki na mbowe na infact nimesherekea uhuru wake ,
Nilitaka kuonesha jinsi mihimili inavyokosa uhuru .hii pattern ya mahakama kupigwa mtama na Dpp , haijaanza kwa kesi ya mbowe ,
 
You got me wrong dude !
Sina chuki na mbowe na infact nimesherekea uhuru wake ,
Nilitaka kuonesha jinsi mihimili inavyokosa uhuru .hii pattern ya mahakama kupigwa mtama na Dpp , haijaanza kwa kesi ya mbowe ,
Ni kweli ila ni mawazo yangu kuwa hili linatokea Kwa kuwa mwanzisha kesi ni Dpp, ila kwakupelekewa na dci kutokea polisi, tumtafute mwenye kutenda bila weledi, hata hii mambo inamfikia dpp na hatimaye mahakamani, na huyo ndiye wa kumwadabisha Ili siku zijazo tutoke kwenye kadhia za namna hii.
 
Ni kweli ila ni mawazo yangu kuwa hili linatokea Kwa kuwa mwanzisha kesi ni Dpp, ila kwakupelekewa na dci kutokea polisi, tumtafute mwenye kutenda bila weledi, hata hii mambo inamfikia dpp na hatimaye mahakamani, na huyo ndiye wa kumwadabisha Ili siku zijazo tutoke kwenye kadhia za namna hii.
Wakati Dpp anaanzisha kesi , kama kweli angekuwa huru naye angekuwa na uwezo wa kuzikataa kesi mbovu,
Hii kesi ya mbowe kuanzia mwanzo ilikuwa na elements za uonevu ,
 
Back
Top Bottom