Kufuta ushuru wa saruji: Changamoto za utekelezaji wake

Makame

JF-Expert Member
Jan 3, 2008
512
60
USHURU WA SARUJI IAGIZWAYO KUTOKA NJE KWA SASA NI 25%; na VAt ni 18%.

ushuru umewekwa kwenye saruji ili kulinda uzalishaji wa viwanda vyetu vya ndani; kwani Saruji kutoka nje inaingia kwenye soko letu katika mazingiza ya ushindani usio halali. Nasema hivyo kwa sababu saruji izalishwayo nje na kuletwa kwenye soko letu inapata ruzuku huko itokako. Endapo Serikali itaruhusu saruji hio kuingia nchini bila ya kutozwa ushuru itakua na athari zifuatazo.

1. Uzalishaji wa ndani utadumaa na hatimaye kufa.
2. Ajira za ndani zitapotea.
3. Mapato ya serikali yatapotea (Both ya Ushuru na mapato ya ndani kutoka kwenye uzalishaji wa ndani).
4. Uzalishaji wa ndani ukifa; saruji iagizwayo kutoka nje itapandishwa bei; kwa kuwa itakuwa ishaua uzalishaji wa ndani; hivyo watakuwa na ukiritimba.

KIMSINGI KUFUTA USHURU HAKUWEZI KUSHUSHA BEI YA SARUJI; bali kutaangamiza uzalishaji wa ndani, ajira, mapato na hatimaye kujengea mabepari wanaoagiza saruji kutoka nje MONOPOLY.

AIDHA

kufuta ushuru wa saruji ni kuenda kinyume na utekelezaji wa Itifaki ya Umoja wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki; hivyo kimsingi maanake ni kuelekea kujitoa kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sasa kusema kuwa unafuta ushuru kwenye saruji ni kujitoa kwenye Jumuiya; ambapo VYAMA VYOTE VINASEMA KWENYE ILANI ZAO KUWA WANAUNGA MKONO MTANGAMANO WA AFRIKA MASHARIKI.

SASA DKT SLAA ALIKUWA ANAWADANGANYA WATANZANIA AU ALIKUWA HAJUI ANACHOKISEMA?
 
Tatizo tunapenda kudharau mipango ya watu sana,hayo yote yanawezekana kwetu kufuta ushuru au kutoa subsidy na pia kufungua viwanda vya kutosha hapa kwetu.Unajua siku zote unapokuta viwanda vinatengeneza na haviwatoshelezi mahitaji ya soko lazima wauze bei juu na unajua wanaomiliki makampuni za saruji kwetu ni wale wale wanyonyaji.Ukumbuko hilo swala la Africa mashariki pia si la kuendekeza kiivo,kwani linategemea sana mitazamo ya maraisi walioko madarakani.Kama sasa hivi ilitakiwa tuwe hatua ya mbali sana ila kwa vile dikteta wa Uganda alisema lazima awe raisi wa kwanza ikawapa hofu wenzie.Hivyo tuangalie ya kwetu zaidi.Swala la serekali kupoteza kodi wala isikupe tabu kuna matumizi kibao alisema atayaondoa kwani hayana umaana wowote na pia kwetu pia kodi haikusanywi ipasavyo katika maeneo mengi sana.Saruji mfuko Tshs 5,000 inawezekana
 
Si kweli kwamba cement yote ya kutoka nje imepata subsidy huko ilipotoka.

Pamoja na kwamba ni muhimu kulinda viwanda vya ndani lakini ni vema pia kuhakikisha viwanda vyetu vinapata ushindani wa kutosha ili kutomuumiza mwanachi wa kawaida kwa bei za juu. Pamoja na hatua hizi za kulinda viwanda vyetu, ni vema kukawekwa utaratibu wa kuvifanya/kuvilazimisha vipunguze gharama na kuongeza ufanisi ili bei ya cement iteremeke. tuzingatie pia hivi viwanda 'tunavyoviita vyetu' pengine sio vyetu ki hivyo!
 
Huwezi ukafuta ushuru, ukakosa mapato while at the same time uka-afford kutoa subsidy kwa domestic production na kufanikisha uwekezaji wa ndani wa uzalishaji.

Kuboresha mazingira ni muhimu, lakini hilo suala la kuuza saruji Tshs 5000 ni over ambitious.

Aidha, Mkanganyiko wa kisera. Je ni Pro Integration au Anti Integration? kufuta ushuru ni kuwa anti integration, na sera ya CHADEMA inasema iko pro integration; now which is which?

A SIMPLE ANALYSIS OF SUBSIDIES TO CEMENT PRODUCTION

Ushuru wa CET wa Saruji = 0 ( tunakosa mapato)
Ruzuku kwa viwanda = + Billions (sijuwi tutazitoa wapi? - Budget ni donor dependent)
Kuimarisha viwanda vipya = + Billions (same as above)

Let us be realistic and not assume about UTOPIA
 
USHURU WA SARUJI IAGIZWAYO KUTOKA NJE KWA SASA NI 25%; na VAt ni 18%.

ushuru umewekwa kwenye saruji ili kulinda uzalishaji wa viwanda vyetu vya ndani; kwani Saruji kutoka nje inaingia kwenye soko letu katika mazingiza ya ushindani usio halali. Nasema hivyo kwa sababu saruji izalishwayo nje na kuletwa kwenye soko letu inapata ruzuku huko itokako. Endapo Serikali itaruhusu saruji hio kuingia nchini bila ya kutozwa ushuru itakua na athari zifuatazo.

1. Uzalishaji wa ndani utadumaa na hatimaye kufa.
2. Ajira za ndani zitapotea.
3. Mapato ya serikali yatapotea (Both ya Ushuru na mapato ya ndani kutoka kwenye uzalishaji wa ndani).
4. Uzalishaji wa ndani ukifa; saruji iagizwayo kutoka nje itapandishwa bei; kwa kuwa itakuwa ishaua uzalishaji wa ndani; hivyo watakuwa na ukiritimba.

KIMSINGI KUFUTA USHURU HAKUWEZI KUSHUSHA BEI YA SARUJI; bali kutaangamiza uzalishaji wa ndani, ajira, mapato na hatimaye kujengea mabepari wanaoagiza saruji kutoka nje MONOPOLY.

AIDHA

kufuta ushuru wa saruji ni kuenda kinyume na utekelezaji wa Itifaki ya Umoja wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki; hivyo kimsingi maanake ni kuelekea kujitoa kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sasa kusema kuwa unafuta ushuru kwenye saruji ni kujitoa kwenye Jumuiya; ambapo VYAMA VYOTE VINASEMA KWENYE ILANI ZAO KUWA WANAUNGA MKONO MTANGAMANO WA AFRIKA MASHARIKI.

SASA DKT SLAA ALIKUWA ANAWADANGANYA WATANZANIA AU ALIKUWA HAJUI ANACHOKISEMA?

Solution kwa yote ni vipaumbele vya serikali. Kama serikali ikiwa na vipaumbele vyake kwenue anasa ni wazi hakuna litakalowezekana. Lakini serikali ikisema inataka kupunguza bei ya saruji, inawezekana kabisa. Mfano mzuri ni CCM walipenda kuweka mabango makubwa ya Kikwete nchi nzima na wakaweza. Vyama vingine hawakupenda na hawakuweza.
 
Mimi nina uhakika Saruji inayoingizwa hapa nchini ni ile iliyopata subsidies.

Kiwanda kikishakuwa Nchini, kinazalisha Nchini kwa kutumia rasilimali zilizopo hapa, ni cha kwetu.

Awali Ushuru wa CET ulikuwa 35%, serikali za EAC zikapunguza hadi 25% kwa vile ilikuwa too expensive to import na pia domestic production haikuwa inapata competition ya kutosha.

Serikali huwa haifanyi maamuzi bila ya kufanya utafiti wa Kina.



Si kweli kwamba cement yote ya kutoka nje imeptata subsidy huko ilipotoka. Pamoja na kwamba ni muhimu kulinda viwanda vya ndani lakini ni vema pia kuhakikisha viwanda vyetu vinapata ushindani wa kutosha ili kutomuumiza mwanachi wa kawaida kwa bei za juu. Pamoja na hatua hizi za kulinda viwanda vyetu, ni vema kukawekwa utaratibu wa kuvifanya/kuvilazimisha vipunguze gharama na kuongeza ufanisi ili bei ya cement iteremeke. tuzingatie pia hivi viwanda 'tunavyoviita vyetu' pengine sio vyetu ki hivyo!
 
USHURU WA SARUJI IAGIZWAYO KUTOKA NJE KWA SASA NI 25%; na VAt ni 18%.

ushuru umewekwa kwenye saruji ili kulinda uzalishaji wa viwanda vyetu vya ndani; kwani Saruji kutoka nje inaingia kwenye soko letu katika mazingiza ya ushindani usio halali. Nasema hivyo kwa sababu saruji izalishwayo nje na kuletwa kwenye soko letu inapata ruzuku huko itokako. Endapo Serikali itaruhusu saruji hio kuingia nchini bila ya kutozwa ushuru itakua na athari zifuatazo.

1. Uzalishaji wa ndani utadumaa na hatimaye kufa.
2. Ajira za ndani zitapotea.
3. Mapato ya serikali yatapotea (Both ya Ushuru na mapato ya ndani kutoka kwenye uzalishaji wa ndani).
4. Uzalishaji wa ndani ukifa; saruji iagizwayo kutoka nje itapandishwa bei; kwa kuwa itakuwa ishaua uzalishaji wa ndani; hivyo watakuwa na ukiritimba.

KIMSINGI KUFUTA USHURU HAKUWEZI KUSHUSHA BEI YA SARUJI; bali kutaangamiza uzalishaji wa ndani, ajira, mapato na hatimaye kujengea mabepari wanaoagiza saruji kutoka nje MONOPOLY.

AIDHA

kufuta ushuru wa saruji ni kuenda kinyume na utekelezaji wa Itifaki ya Umoja wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki; hivyo kimsingi maanake ni kuelekea kujitoa kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sasa kusema kuwa unafuta ushuru kwenye saruji ni kujitoa kwenye Jumuiya; ambapo VYAMA VYOTE VINASEMA KWENYE ILANI ZAO KUWA WANAUNGA MKONO MTANGAMANO WA AFRIKA MASHARIKI.

SASA DKT SLAA ALIKUWA ANAWADANGANYA WATANZANIA AU ALIKUWA HAJUI ANACHOKISEMA?

Mkuu
Makame watu wenye mawazo kama yako ndo wamelifanya hili taifa liendelee kudumaa,,SO ni vema majority ya Wadanganyika waendelee kulalia TEMBE???Miaka 50 ya uhuru na rasilimali zote hizi tunahsindwa kuzalisha hata SARUJI KWA USHINANI????WAKENYA; WAGANDA WARWANDA WAMEFANYAJE,,so wewe unaona kwa sababu ya kulinda viwanda wa wakoloni ni vema mwananchi wa RUFIJI aendelee kulala juu ya mti???

Nchi zote zilizoendelea wakati walipohamua kuendelea walijifikiria wao kwanza, sasa nyie mnatumia ujinga wa wananchi kuwafurahisha wakoloni( MNAOWAITA WAWEKEZAJI) na kujineemesha wenyewe tu,,Kumbukeni utafika mwisho wananchi watasema basi sijui mtakimbilia wapi. Msifikiri watu ni wajinga kihivyo,,,,,Unazungumzia saruji na SUKARI vipi?. Kama saruji inayozalishwa Pakistan inaweza patikana kwenye soko la Tanzania kwa bei nafuu kuliko SARUJI iliyozalishwa WAZO; MBEYA;TANGA kwanini usijiulize hao wapakistani wamewezaje?Kwanini na nyie msiibe hizo mbinu mzalishe mtosheleze soko la ndani na hatimaye mpeleke na nyie saruji MUMBAI AU KARACHI kwa bei nafuu kama wao??

haihitaji akili za darasani kuelewa kwamba Uko hapa kutetea UJINGA Zinduka kwani madhara ya huu ujinga unaotetea ndo yanayolitafuna hili taifa
 
Kuweka MABANGO SIO SERA YA SERIKALI, ni CHAMA.
VIPAUMBELE VIKO, na ndio maana ilifanywa review ya kushusha ushuru, lakini sio kufuta.

Ila kumbuka kuna mahitaji mengi na rasilimali ni chache.

Hivyo Serikali inaweka mazingira rafiki kwa Biashara, Uwekezaji ili kukuza maendeleo.

Solution kwa yote ni vipaumbele vya serikali. Kama serikali ikiwa na vipaumbele vyake kwenue anasa ni wazi hakuna litakalowezekana. Lakini serikali ikisema inataka kupunguza bei ya saruji, inawezekana kabisa. Mfano mzuri ni CCM walipenda kuweka mabango makubwa ya Kikwete nchi nzima na wakaweza. Vyama vingine hawakupenda na hawakuweza.
 
Mimi nina uhakika Saruji inayoingizwa hapa nchini ni ile iliyopata subsidies.

Kiwanda kikishakuwa Nchini, kinazalisha Nchini kwa kutumia rasilimali zilizopo hapa, ni cha kwetu.

Awali Ushuru wa CET ulikuwa 35%, serikali za EAC zikapunguza hadi 25% kwa vile ilikuwa too expensive to import na pia domestic production haikuwa inapata competition ya kutosha.

Serikali huwa haifanyi maamuzi bila ya kufanya utafiti wa Kina.

MAKAME

PLZZ naomba usijiaibishe hapa, Huo utafiti wa kina unaouzungumzia ni upi??? au ni the other way round,,,Yako wapi yaliyokuwa mahsirika ya UMMA,,,SO mlifanye utafiti wa kina kuuza TTCL; TRC; ATC????????????????yako wapi leo kama huo utafiti ulikuwa wa kina???Kwa haya mawazo bado safari ni ndefu kweli
 
SOLUTION YA KUONDOSHA TEMBE SIO KUFUTA USHURU NDUGU YANGU.

Economically you cannot eliminate taxation [mapato] na ukaongeza mapato [subsidizing] zote ni negatives.

LA MSINGI

Sikatai kuwa kuna haja ya kuwezesha Watanzania Kujenga.

Sikubali kuwa kufuta Ushuru ndio DAWA; itakuwa ndio matatizo zaidi!


Mkuu
Makame watu wenye mawazo kama yako ndo wamelifanya hili taifa liendelee kudumaa,,SO ni vema majority ya Wadanganyika waendelee kulalia TEMBE???Miaka 50 ya uhuru na rasilimali zote hizi tunahsindwa kuzalisha hata SARUJI KWA USHINANI????WAKENYA; WAGANDA WARWANDA WAMEFANYAJE,,so wewe unaona kwa sababu ya kulinda viwanda wa wakoloni ni vema mwananchi wa RUFIJI aendelee kulala juu ya mti???

Nchi zote zilizoendelea wakati walipohamua kuendelea walijifikiria wao kwanza, sasa nyie mnatumia ujinga wa wananchi kuwafurahisha wakoloni( MNAOWAITA WAWEKEZAJI) na kujineemesha wenyewe tu,,Kumbukeni utafika mwisho wananchi watasema basi sijui mtakimbilia wapi. Msifikiri watu ni wajinga kihivyo,,,,,Unazungumzia saruji na SUKARI vipi?. Kama saruji inayozalishwa Pakistan inaweza patikana kwenye soko la Tanzania kwa bei nafuu kuliko SARUJI iliyozalishwa WAZO; MBEYA;TANGA kwanini usijiulize hao wapakistani wamewezaje?Kwanini na nyie msiibe hizo mbinu mzalishe mtosheleze soko la ndani na hatimaye mpeleke na nyie saruji MUMBAI AU KARACHI kwa bei nafuu kama wao??

haihitaji akili za darasani kuelewa kwamba Uko hapa kutetea UJINGA Zinduka kwani madhara ya huu ujinga unaotetea ndo yanayolitafuna hili taifa
 
SOLUTION YA KUONDOSHA TEMBE SIO KUFUTA USHURU NDUGU YANGU.

Economically you cannot eliminate taxation [mapato] na ukaongeza mapato [subsidizing] zote ni negatives.

LA MSINGI

Sikatai kuwa kuna haja ya kuwezesha Watanzania Kujenga.

Sikubali kuwa kufuta Ushuru ndio DAWA; itakuwa ndio matatizo zaidi!

MKUU

Matatizo zaidi kivipi? Kwa huo mtizamo wako MWALIMU, POLISI,MKULIMA wataonokanaje na TEMBE??? JE na huo ushuru unatoka kwa viwanda vya saruji tu????kama mnaweza wapa ahueni ya ushuru makampuni ya madini ambayo uzalishaje wake hauleti impact yeyote kwa mwananchi wa kawaida kwanini kwenye saruji iwe shida??

 
cement ya mbeya leo inauzwa sh 20000 kwa mfuko!sioni kama kuna haja ya kulinda eti viwanda vetu vya ndani wakati wawekezaji wanaiba kupitia purchasing za materials toka kwao kama clinker,spare parts,experts etc.eg inakuaje twiga,tembo,simba viwe na bei moja ya saruji kiwandani kama sio makusudi ya kupanga bei na wakati twiga wanatumia gesi ktk uzalishaji?
 
Kuweka MABANGO SIO SERA YA SERIKALI, ni CHAMA.
VIPAUMBELE VIKO, na ndio maana ilifanywa review ya kushusha ushuru, lakini sio kufuta.

Ila kumbuka kuna mahitaji mengi na rasilimali ni chache.

Hivyo Serikali inaweka mazingira rafiki kwa Biashara, Uwekezaji ili kukuza maendeleo.

Siyo sera ndiyo. Lakini hela zimetoka wapi? Hela za kununulia rada zilitoka wapi? Mabilioni ya hela zinzoibwa na mafisadi kila mwaka zinatoka wapi? Matumizi ya anasa ya serikali, hela zake zinatoka wapi?
 
USHURU WA SARUJI IAGIZWAYO KUTOKA NJE KWA SASA NI 25%; na VAt ni 18%.

ushuru umewekwa kwenye saruji ili kulinda uzalishaji wa viwanda vyetu vya ndani; kwani Saruji kutoka nje inaingia kwenye soko letu katika mazingiza ya ushindani usio halali. Nasema hivyo kwa sababu saruji izalishwayo nje na kuletwa kwenye soko letu inapata ruzuku huko itokako. Endapo Serikali itaruhusu saruji hio kuingia nchini bila ya kutozwa ushuru itakua na athari zifuatazo.

1. Uzalishaji wa ndani utadumaa na hatimaye kufa.
2. Ajira za ndani zitapotea.
3. Mapato ya serikali yatapotea (Both ya Ushuru na mapato ya ndani kutoka kwenye uzalishaji wa ndani).
4. Uzalishaji wa ndani ukifa; saruji iagizwayo kutoka nje itapandishwa bei; kwa kuwa itakuwa ishaua uzalishaji wa ndani; hivyo watakuwa na ukiritimba.

KIMSINGI KUFUTA USHURU HAKUWEZI KUSHUSHA BEI YA SARUJI; bali kutaangamiza uzalishaji wa ndani, ajira, mapato na hatimaye kujengea mabepari wanaoagiza saruji kutoka nje MONOPOLY.

AIDHA

kufuta ushuru wa saruji ni kuenda kinyume na utekelezaji wa Itifaki ya Umoja wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki; hivyo kimsingi maanake ni kuelekea kujitoa kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Sasa kusema kuwa unafuta ushuru kwenye saruji ni kujitoa kwenye Jumuiya; ambapo VYAMA VYOTE VINASEMA KWENYE ILANI ZAO KUWA WANAUNGA MKONO MTANGAMANO WA AFRIKA MASHARIKI.

SASA DKT SLAA ALIKUWA ANAWADANGANYA WATANZANIA AU ALIKUWA HAJUI ANACHOKISEMA?

Zinduka bwana Makame toa matongotongo
 
Mimi nina uhakika Saruji inayoingizwa hapa nchini ni ile iliyopata subsidies.

Kiwanda kikishakuwa Nchini, kinazalisha Nchini kwa kutumia rasilimali zilizopo hapa, ni cha kwetu.

Awali Ushuru wa CET ulikuwa 35%, serikali za EAC zikapunguza hadi 25% kwa vile ilikuwa too expensive to import na pia domestic production haikuwa inapata competition ya kutosha.

Serikali huwa haifanyi maamuzi bila ya kufanya utafiti wa Kina.

Net group solution, Deep Green, Meremeta, RITES, Richmond, Buzwagi, Ushirika wa Celtel na TTCL, na ubinafsishaji wa viwanda vya ngozi, nguo, mahoteli ya serikali, uuzaji wa nyumba za serikali zilikuwa na utafiti wa kina?
 
Kwa heshima na taadhima kubwa.

1. Hapa tunazungumzia SARUJI na Kuhusu ushuru wa Saruji kufutwa kwenye bidhaa hio.
2. Suala la TTCL, TRC, ATC, TICTS, TBL, TDL, NBC and what ever case you may know of; ni out of the THREAD. Ukitaka kuyazungumzia hayo, anzisha thread nyengine; tusitoke nje ya mada. Aidha, kila moja ya hizo ni different case scenario na kuna maelezo yake.
3.Mtu anapofanya maamuzi huwa hafanyi kwa kufanya OVERVIEW ANALYSIS ya mambo, kinachotakiwa ni INDEPTH ANALYSIS. Sasa kama kuna safari ndefu, ni kweli; hilo silikatai. Na Inapaswa ianze kwa watu wenye kubwabwaja kuthamini ANALYSIS, ambazo zinapelekea waamuzi kufanya maamuzi yalikuwa informed.
4. Mimi wala sijajiaibisha, kwani I have made my case; you want to encounter that; go ahead; ila iwe kwa HOJA. USIKURUPUKE TU; au ndio unafanya mambo KIJESHI JESHI [IDDI AMIN] kwa hiyo Uniform kwenye profile?

MAKAME

PLZZ naomba usijiaibishe hapa, Huo utafiti wa kina unaouzungumzia ni upi??? au ni the other way round,,,Yako wapi yaliyokuwa mahsirika ya UMMA,,,SO mlifanye utafiti wa kina kuuza TTCL; TRC; ATC????????????????yako wapi leo kama huo utafiti ulikuwa wa kina???Kwa haya mawazo bado safari ni ndefu kweli
 
Sikumbuki kama kuna atumizi ya anasa Serikalini; au ulikusudia wageni wakija watembee kwa Punda kutoka Airport?

Ama kama kuna mabilioni yanayoibiwa kila mwaka, hilo silijui; na kama unao ushahidi; tafadhali tufanye HARAKA tuuwasilishe kwa IGP afungue kesi za jinai kwa wahusika.

Siyo sera ndiyo. Lakini hela zimetoka wapi? Hela za kununulia rada zilitoka wapi? Mabilioni ya hela zinzoibwa na mafisadi kila mwaka zinatoka wapi? Matumizi ya anasa ya serikali, hela zake zinatoka wapi?
 
NAKUOMBA SANA, USIZUNGUMZE SIASA.

LETE HOJA.

MIAKA 50 ya uhuru, ndio.

Miaka 24 Taifa liliongozwa na Mwalimu, almost 50% of the TIME.

Aidha, hata ROME was not BUILT in one Day; and from what I know, ni kwamba we are moving forward.

TV hazikuanza kutizamwa Nchi hii hadi 90s wakati Zanzibar walikuwa na first Colour TV Station in Africa in 1964.

Watu wanapojenga hoja, huwa wanazungumzia present and future; the PAST is a bygone. You cannot change it even if you wished to.


SOLUTION YA KUONDOSHA TEMBE SIO KUFUTA USHURU NDUGU YANGU.

Economically you cannot eliminate taxation [mapato] na ukaongeza mapato [subsidizing] zote ni negatives.

LA MSINGI

Sikatai kuwa kuna haja ya kuwezesha Watanzania Kujenga.

Sikubali kuwa kufuta Ushuru ndio DAWA; itakuwa ndio matatizo zaidi!
 
Sidhani kama tuko kwenye FREQUENCY MOJA. Wewe mwenzangu uko kwengine kabisa.

kwanza kabisa napenda kukujulisha kwamba TWO WRONGS DO NOT MAKE A RIGHT.

Pili, unapaswa kufahamu kuwa Kampuni za madini hazijasamehewa USHURU. Hicho Kitu hakuna; MBONA UNAZUNGUMZA VITU KIJUU JUU BILA YA HOJA? Hii inanibainishia kuwa unapenda kuhitimisha hoja kwa papara tena bila ya kuwa na INFORMATION ya kutosha. Tafadhali sana, badilika; usizungumze tu mradi uonekane umesema. Weka vitu ujulikane kuwa kweli umesema.

MKUU

Matatizo zaidi kivipi? Kwa huo mtizamo wako MWALIMU, POLISI,MKULIMA wataonokanaje na TEMBE??? JE na huo ushuru unatoka kwa viwanda vya saruji tu????kama mnaweza wapa ahueni ya ushuru makampuni ya madini ambayo uzalishaje wake hauleti impact yeyote kwa mwananchi wa kawaida kwanini kwenye saruji iwe shida??

 
Usiudanganye Umma wa Watanzania kuwa Saruji ya Mbeya inauzwa Tshs 20,000 kwa mfuko. Tena tema mate chini. Mwaka 2006, saruji ilifika hadi Tshs 25,000 kwa mfuko; ndipo serikali iliposhusha Ushuru na yenyewe ikashuka by 50%.

Wewe inaelekea ukipewa madaraka, kila kitu Watanzania watanunua nje.

Kuhusu wawekezaji Kuiba, hilo ni suala laa kuangaliwa na kuwekewa MKAKATI; na kamwe MKAKATI huo sio kufuta ushuru ama kuua domestic production

cement ya mbeya leo inauzwa sh 20000 kwa mfuko!sioni kama kuna haja ya kulinda eti viwanda vetu vya ndani wakati wawekezaji wanaiba kupitia purchasing za materials toka kwao kama clinker,spare parts,experts etc.eg inakuaje twiga,tembo,simba viwe na bei moja ya saruji kiwandani kama sio makusudi ya kupanga bei na wakati twiga wanatumia gesi ktk uzalishaji?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom