Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Wanajamvi,
namshukuru Mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga kura tunaweza kuutoa kwa dawa/sabuni/ au kimiminika gani? Mpaka leo sijafanikiwa kusafisha kidole hicho.
namshukuru Mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga kura tunaweza kuutoa kwa dawa/sabuni/ au kimiminika gani? Mpaka leo sijafanikiwa kusafisha kidole hicho.