laii
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 834
- 1,058
Mimi ni baba wa familia,nikitokaga home,nimeambiwa mfanyakazi wangu huwa anafuta alama ya unyayo nilioacha vumbi baada ya kupita either kwa fagio,mguu wake,au kitambaa,nikikanyaga barazani kama kuna vumbi pia anafuta,ana maana gani.
Binti ni mwenyeji wa Kisumu,ana umri wa miaka 19.
Si mara moja mke wangu,mtoto au mfanyakazi mwenzake anamwona akifanya hivyo,sijawahi kumuuliza namfuatilia.
Naombeni ushauri wenu.
Binti ni mwenyeji wa Kisumu,ana umri wa miaka 19.
Si mara moja mke wangu,mtoto au mfanyakazi mwenzake anamwona akifanya hivyo,sijawahi kumuuliza namfuatilia.
Naombeni ushauri wenu.