bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Mubashara hotuba ya Rais mkoa wa pwani Azam two.
Raisi anasema wafungwa wapige kazi kufungwa sio sawa na kwenda Sheraton,Mafisadi wakalipie jasho walilolichuma wakiwa jela Askari magereza pigeni kazi msiangalie umaarufu.
Tasaf kuna Maskini Hewa,Pembejeo kuna wakulima hewa,Vyuoni kuna wanafunzi hewa.
Piga kazi Raisi.
Raisi anasema wafungwa wapige kazi kufungwa sio sawa na kwenda Sheraton,Mafisadi wakalipie jasho walilolichuma wakiwa jela Askari magereza pigeni kazi msiangalie umaarufu.
Tasaf kuna Maskini Hewa,Pembejeo kuna wakulima hewa,Vyuoni kuna wanafunzi hewa.
Piga kazi Raisi.