Andres
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 501
- 791
Leo katika pita pita yangu mjini nakihela changu kiduchu, nikasema niende nikachange maana rate ilikuwa nzuri kweli siku kadhaa zilizopita.. ndio nkakutana na kizungumkata chake, maduka yote yamefungwa ni mpaka uende benki. Maelezo niliyoyapata hayaridhishi, kwamba hawa jamaa wamekiuka masharti fulani, sasa ni wote kweli ? Na ndio watawafungulia lini ?
Mwenye uelewa mpana juu ya hili wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye uelewa mpana juu ya hili wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app