Kufungwa kwa biashara Kilimanjaro Serikali ijilaumu kwa uzembe

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,491
3,998
Serikali kupitia TRA wao wamekaa maofisini tu wakisubiri kuwakamua wafanyabishara wanaokuja kulipa kodi. Sasa kumekuwa na wimbi la ufungaji biashara kwa kasi sana hasa baada ya janga la Corona kuikumba Tanzania.

Jambo la kushangaza huwezi kukuta Afisa wa TRA akijaribu kuchunguza changamoto alizopata mfanyabiashara mpaka akafunga biashara yake.

Leo hii ukiandika barua ya kufunga biashara yako TRA watapokea na kusitisha ulipaji kodi wako hawataki kujua kwanini unafunga.

Wafanyabishara wengine wameamua kufunga biashara na kuwa wamachinga ili kufanya biashara kwa uhuru zaidi. Kama serikali ingekuwa makini ingechukua kwa uzito sana hiyo changamoto na kuitatua mara moja iwe ni kupunguza kodi au la.

Sasa hapo hasara kwa serikali tu mana mapato yatapungua na huenda wakaelemewa na mzigo wa madeni.
 
Sasa ulitakaje? Biashara ni yako! Na ni wewe umeamua kuifunga! Sasa ulitaka wakubembeleze usiifunge? Ukikosa kwenda chooni na wategemezi wako si utaifungua? WaTz tunapenda kudekezwa I seeeee!
 
  • Thanks
Reactions: UCD
mtu anayefunga biashara si anaambatanisha sababu za kufunga kwenye barua ? au sababu zipi TRA wachunguze zaidi ya zile wanazoambiwa na hao wafanyabiashara ?

Mtu anaposema nimefunga hoteli yangu ya kitalii kwa sababu ya kudorora kwa utalii kipindi hiki, hiyo sababu hairidhishi?

usinifikirie vibaya lakini nasikia harufu ya ukabila kwenye mada yako
 
Sasa ulitakaje? Biashara ni yako! Na ni wewe umeamua kuifunga! Sasa ulitaka wakubembeleze usiifunge? Ukikosa kwenda chooni na wategemezi wako si utaifungua? WaTz tunapenda kudekezwa I seeeee!
Huyo mleta mada ana hoja! Ila wewe kwa kuwa upo ofisini unapokea tu mshahara unamletea dharau.

AMA KWELI ALIYESHIBA HAMJUI MWENYE NJAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara zinafungwa hata kabla ya korona kama ulikua hujui
mtu anayefunga biashara si anaambatanisha sababu za kufunga kwenye barua ? au sababu zipi TRA wachunguze zaidi ya zile wanazoambiwa na hao wafanyabiashara ?

Mtu anaposema nimefunga hoteli yangu ya kitalii kwa sababu ya kudorora kwa utalii kipindi hiki, hiyo sababu hairidhishi?

usinifikirie vibaya lakini nasikia harufu ya ukabila kwenye mada yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri atafunga akaombe ombe mtaani??? Akili yako mgando atafunga biashara lakini atafungua goli awe mmachinga tu na atapiga hela kuliko alivyokua anaghasiwa na TRA kama ulikua hujui
Sasa ulitakaje? Biashara ni yako! Na ni wewe umeamua kuifunga! Sasa ulitaka wakubembeleze usiifunge? Ukikosa kwenda chooni na wategemezi wako si utaifungua? WaTz tunapenda kudekezwa I seeeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada nimekuelewa sana, ni wajinga tu ambao hawawezi kuelewa hapa.
Kila mtu sasa hivi ni mjanja, maana mfanyabiashara anaona ni bora afunge biashara yake afungue upya kama machinga ukachukue kitambulisho cha 20,000 tu ajiite mnyonge na yeye. Kumbe anapiga hela balaa na vijana wake ambao amewagawanishia mzigo.
Halafu TRA mnakuwa ofisini kupokea barua, mapato ya mkoa yakishuka baba Jesca anaanza kuwatukana hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ulitakaje? Biashara ni yako! Na ni wewe umeamua kuifunga! Sasa ulitaka wakubembeleze usiifunge? Ukikosa kwenda chooni na wategemezi wako si utaifungua? WaTz tunapenda kudekezwa I seeeee!
Akili za kimaskini hizi. Itakuwa hata pipi hukuuza wewe. Si kwa ujinga huu. Marekani yenye biashara nyingi inatetea zisifungwe kwa sababu wana akili za kitajiri. Halafu tunatarajia siku moja tuwe mbali kwa akili kama hizi? Kazi kweli kweli!
 
Mkuu huo ndio ukweli,kwa kujiridhisha fanya research fu. Mtaani mafrem kibao yamefungwa lakini ukichek kwa makini utakuta kuna banda kubwa la chuma na jamaa kaweka duka anakimbiza balaa halipi kodi kwa mwenye nyumba wala serikalini.

Kwann kila mtu asitamani kufanya hivyo?
Mleta mada nimekuelewa sana, ni wajinga tu ambao hawawezi kuelewa hapa.
Kila mtu sasa hivi ni mjanja, maana mfanyabiashara anaona ni bora afunge biashara yake afungue upya kama machinga ukachukue kitambulisho cha 20,000 tu ajiite mnyonge na yeye. Kumbe anapiga hela balaa na vijana wake ambao amewagawanishia mzigo.
Halafu TRA mnakuwa ofisini kupokea barua, mapato ya mkoa yakishuka baba Jesca anaanza kuwatukana hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna fala kaskazini mkuu watu ni wa kujiongeza fasta kabla hajaingia choo. Hata wakiambatanisha serikali ina ushauri wowote kwao labda kutoa ofa au misamaa ili kama kodi kubwa waone tena?

Kama wanaambatanisha na vigezo maafisa wa TRA wanafatilia na kujiridhisha? Yeye kakaa ofisini tu ni kukubali kuwa huyu mtu kafilisika lakini hatak kujua zaidi.

Kwa sababu ww kichwa kibovu bado hujagundua hilo
mtu anayefunga biashara si anaambatanisha sababu za kufunga kwenye barua ? au sababu zipi TRA wachunguze zaidi ya zile wanazoambiwa na hao wafanyabiashara ?

Mtu anaposema nimefunga hoteli yangu ya kitalii kwa sababu ya kudorora kwa utalii kipindi hiki, hiyo sababu hairidhishi?

usinifikirie vibaya lakini nasikia harufu ya ukabila kwenye mada yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mdororo wa kiuchumi umeikumba dunia nzima ikiwepo na Tz, sasa wale watumishi wa uma wanaoshangilia na kuwacheka wenzao watakuwa ni mata-hira na hali hii itawakumba hata wao, ni swala la muda tuu tutaongea lugha moja
 
Sasa ulitakaje? Biashara ni yako! Na ni wewe umeamua kuifunga! Sasa ulitaka wakubembeleze usiifunge? Ukikosa kwenda chooni na wategemezi wako si utaifungua? WaTz tunapenda kudekezwa I seeeee!
Endelea kupokea mshahara wako mwisho wa mwezi,acha wanaume tukutafutie pesa utayolipwa wewe ili watoto waende chooni.
 
mtu anayefunga biashara si anaambatanisha sababu za kufunga kwenye barua ? au sababu zipi TRA wachunguze zaidi ya zile wanazoambiwa na hao wafanyabiashara ?

Mtu anaposema nimefunga hoteli yangu ya kitalii kwa sababu ya kudorora kwa utalii kipindi hiki, hiyo sababu hairidhishi?

usinifikirie vibaya lakini nasikia harufu ya ukabila kwenye mada yako
Mimi pia nakuhisi kama mkabila flani au mwana fisiemu, usijisikie vibaya pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za kimaskini hizi. Itakuwa hata pipi hukuuza wewe. Si kwa ujinga huu. Marekani yenye biashara nyingi inatetea zisifungwe kwa sababu wana akili za kitajiri. Halafu tunatarajia siku moja tuwe mbali kwa akili kama hizi? Kazi kweli kweli!
Weee mchaga kwani ulitakaje? Ulitaka ubembelezwe usifunge biashara hama? Au ulidhani kwa kufunga biashara unaitishia serikali? Unafanya biashara kwa faida yako na hiyo kodi unayotoa unatoa kwa mujibu wa sheria na inakurudia wewe maana ndo inajenga barabara, shule, umeme, maji, n.k. Weee wa wapi?
 
Serikali kupitia TRA wao wamekaa maofisini tu wakisubiri kuwakamua wafanyabishara wanaokuja kulipa kodi. Sasa kumekuwa na wimbi la ufungaji biashara kwa kasi sana hasa baada ya janga la Corona kuikumba Tanzania.

Jambo la kushangaza huwezi kukuta Afisa wa TRA akijaribu kuchunguza changamoto alizopata mfanyabiashara mpaka akafunga biashara yake.

Leo hii ukiandika barua ya kufunga biashara yako TRA watapokea na kusitisha ulipaji kodi wako hawataki kujua kwanini unafunga.

Wafanyabishara wengine wameamua kufunga biashara na kuwa wamachinga ili kufanya biashara kwa uhuru zaidi. Kama serikali ingekuwa makini ingechukua kwa uzito sana hiyo changamoto na kuitatua mara moja iwe ni kupunguza kodi au la.

Sasa hapo hasara kwa serikali tu mana mapato yatapungua na huenda wakaelemewa na mzigo wa madeni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kichwa cha nyoka kipo Magogoni pale!

Kile ndio cha kukata
 
Weee mchaga kwani ulitakaje? Ulitaka ubembelezwe usifunge biashara hama? Au ulidhani kwa kufunga biashara unaitishia serikali? Unafanya biashara kwa faida yako na hiyo kodi unayotoa unatoa kwa mujibu wa sheria na inakurudia wewe maana ndo inajenga barabara, shule, umeme, maji, n.k. Weee wa wapi?
Msukuma mjinga. Huwezi ku comment bila kutaja kabila mtu?
 
Pale Fire zimebaki frame mbili tu zinazofunguliwa hizi zingine sijui wamefunga kwa sababu gani.
Mkuu huo ndio ukweli,kwa kujiridhisha fanya research fu. Mtaani mafrem kibao yamefungwa lakini ukichek kwa makini utakuta kuna banda kubwa la chuma na jamaa kaweka duka anakimbiza balaa halipi kodi kwa mwenye nyumba wala serikalini.

Kwann kila mtu asitamani kufanya hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom