MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
Naombeni kufahamishwa kama kuna matibabu ya kuachanisha nyama zilizoshikana kwa kumkarisha mgonjwa kwenye kiti na kumfunga jiwe la kilo 2 miguuni akiwa ananing'niza miguu?hospitali moja madaktari wamemshauri hvy mama yangu. Haya matibabu yamenitia mashaka.naomba mwenye uelewa anijuze.