advocate kiza
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 261
- 90
Habari, Kwa yeyote mwenye kufahamu ni Kwa lini dirisha la maombi kwa ngazi ya cheti na diploma kwa mwaka wa masomo 2019/2020 anisaidie
Thanks in advance
Thanks in advance
Mkuu, hii ni kwa mujibu wa nacte wenyewe...?15.05.2019
15.05.2019
Nashukuru sana mkuuMkuu, hii ni kwa mujibu wa nacte wenyewe...?
Kilimo vipi huko Mtwara?Mkuu, hii ni kwa mujibu wa nacte wenyewe...?
Huku, naona soon tu wizara watatoa announcement.. May be ni mwez huu wa nne mwshoni au wa tano mwanzoniKilimo vipi huko Mtwara?
Tembelea NACTE utapata admission calendar yao na hapa nimeweka kipande husika.Mkuu, hii ni kwa mujibu wa nacte wenyewe...?
15th May, 2019 |
| NACTE |
Ebu nipe ukweli, nasikia MATI Mtwara wanafunzi ni kama manamba ya mashamba ya serikali, hivi ni kweli? Jembe, mikorosho, mbuzi, ngombe, nguruwe etc ndio shule! Ni kweli?Huku, naona soon tu wizara watatoa announcement.. May be ni mwez huu wa nne mwshoni au wa tano mwanzoni
Mkuu, kiukweli MATI MTWARA ni chuo kigumu sana.. Uongozi wa chuo wanajali sana kazi za chuo kuliko Masomo... Yaan manamba full fullEbu nipe ukweli, nasikia MATI Mtwara wanafunzi ni kama manamba ya mashamba ya serikali, hivi ni kweli? Jembe, mikorosho, mbuzi, ngombe, nguruwe etc ndio shule! Ni kweli?