JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Dalili za ugonjwa wa COVID19 ni homa, kikohozi na mafua, kubanwa mbavu na kupumua kwa shida, kuumwa kichwa, vidonda kooni, koo kukauka, mwili kuchoka na kupoteza uwezo wa kuhisi ladha na harufu
Kwa wanafunzi wanaotarajiwa kurudi mashuleni, ni muhimu kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kila mara, kuepuka michezo inayohusisha kugusana na kukaribiana na kuvaa barakoa muda wote shuleni
Endapo mtu atakuwa na dalili zilizotajwa hapo juu, ni muhimu kuwajulisha walio karibu nawe ikiwemo walimu, wazazi au kupiga namba 199
#IshiNaCOVID19
Kwa wanafunzi wanaotarajiwa kurudi mashuleni, ni muhimu kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kila mara, kuepuka michezo inayohusisha kugusana na kukaribiana na kuvaa barakoa muda wote shuleni
Endapo mtu atakuwa na dalili zilizotajwa hapo juu, ni muhimu kuwajulisha walio karibu nawe ikiwemo walimu, wazazi au kupiga namba 199
#IshiNaCOVID19