Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,261
Habari za jioni wakuu!
Naomba niulize moja kwa moja hili swali ili niweze kupata majibu na mchanganuo kwa kina.
Ni hivi......
Je, ninaweza kufungua kampuni kwa ajili ya kumwagizia mteja vitu, vifaa, au kuwaletea chochote wanachohitaji kutoka nje ya nchi na kumkabidhi mteja mkononi?
Kama ni ndiyo, ni hatua zipi nianze nazo?
Naomba niulize moja kwa moja hili swali ili niweze kupata majibu na mchanganuo kwa kina.
Ni hivi......
Je, ninaweza kufungua kampuni kwa ajili ya kumwagizia mteja vitu, vifaa, au kuwaletea chochote wanachohitaji kutoka nje ya nchi na kumkabidhi mteja mkononi?
Kama ni ndiyo, ni hatua zipi nianze nazo?