Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,691
- 924
Habari! Wakuu kama kichwa kinavosema hapo juu ombi lenu kwenu kama kuna wtaalamu waje na offer zao nina mteja anahitaji hii huduma,mazingira ya kufunga hiyo camera yako hivi ni Saloon ya room moja anahitaji ikifungwa awe na access nayo ili aweze kui monitor popote alipo hasa kwenye simu na Tablet,kazi ipo Dar Mtoni kijichi.
1.Inabidi aandae vifaa vipi na vipi ili kukamilisha hilo.
2.Aina gani itumike ya hiyo camera hata kama za mchina zipo sio mbaya pia na bei zake.
3.kama wewe ni fundi njoo na offer yako na mpango kazi mzima kama itakuwa bei inaridhisha utachukua kazi ila usiwe dalali.Ahsanteh
Pm(Mawasiliano mengine ni pale tutakapo kuwa tumepata vizuri)
1.Inabidi aandae vifaa vipi na vipi ili kukamilisha hilo.
2.Aina gani itumike ya hiyo camera hata kama za mchina zipo sio mbaya pia na bei zake.
3.kama wewe ni fundi njoo na offer yako na mpango kazi mzima kama itakuwa bei inaridhisha utachukua kazi ila usiwe dalali.Ahsanteh
Pm(Mawasiliano mengine ni pale tutakapo kuwa tumepata vizuri)