masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Hii kero ya kufunga hii barabara hata kwa watembea kwa miguu itaisha lini?
Ningewaelewa kuzuia magari, lakini pedestrians?
Halmashauri ya Jiji msilikalie kimya suala hili, msingojee kutumbuliwa.