Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,303
- 45,605
Ukifanya uhalifu kupitia simu yako ya mkononi.
Sent using Jamii Forums mobile app
UK, kwanza line unainunua kwa kutumia bank card na bank card huwezi ipata bila kutoa id iwe driving licence, passport etc , hivyo kwa kutumia vitu hivyo tayari wameisha dukua taarifa zako. Tatu wanakuuliza post code yako na he no.hapo wanapata physical address ukifanya uhalifu unanyakuliwa kama drone imekufuata
Sent using Jamii Forums mobile app