Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,185
^^
Linapokuja suala la kufunga uzazi,wanaume wengi hawataki Je,tatizo ni nini?
Nimesema hivyo baada ya kupata habari ya mwanamke ambaye ameaga dunia jana Kutokana na kosa la kibinadamu la madaktari kukosea wakati wa oparesheni ya kufunga kizazi.
^^
Hivi wanaume wana sababu za msingi,,kutopendelea hili?
^^
Linapokuja suala la kufunga uzazi,wanaume wengi hawataki Je,tatizo ni nini?
Nimesema hivyo baada ya kupata habari ya mwanamke ambaye ameaga dunia jana Kutokana na kosa la kibinadamu la madaktari kukosea wakati wa oparesheni ya kufunga kizazi.
^^
Hivi wanaume wana sababu za msingi,,kutopendelea hili?
^^