Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Mkutano umedoda ,wahudhuriaji wachache na hawana furaha . Kinana yupo pale hana nguvu amekata tamaa wanawake ndio wengi na wanaume na vijana wachache sana ,kuna kijana kapanda kavaa khanga (mwanamume kama wa miaka 17-19) ameonesha vitendo vya kutia shaka juu ya uanamume wake. MC kasema tusamehe tu penye wengi pako hivo .Ila ni wazi kama hakutakuwa na rafu Tanga ni ya CUF na UKAWA.