AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,284
- 4,019
Sasa hivi ni saa 1 na dkk 15 tangu saa 11 jioni. Barabara imefungwa wanaruhusu wanaotoka mjini tu. Hata kama kupunguza magari. This is not right kabisa. Massaa mawili straight mnatuweka barabarani.?? Matrafiki wa hili eneo either wabadilishwe kama hii sio amri kutoka juu.
POLISI MAKAO MAKUU NI HAPO KARIBU TU. HAMLIONI HILI....sio sawa hata kidogo.
Wekeni hata namba zenu mitandaoni tuwapigie kwenye shida kama hizi.
POLISI MAKAO MAKUU NI HAPO KARIBU TU. HAMLIONI HILI....sio sawa hata kidogo.
Wekeni hata namba zenu mitandaoni tuwapigie kwenye shida kama hizi.