GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,502
Nakubaliana na wewe! I meant no offence!Hapo bila kutafsir unadhan hizi shule za st. Kayumba kuna mtt atakaelewa???
Hao wanafunz wanaokuja sekondari IQ zao zip chini sanaaa
Hata kutamka neno la kingereza ni ishu
Utamfundishaje mtt kama huyo hata kusoma sentens ya kingereza hawezi??
IF IT AINT BROKEN DONT FIX IT
ww mwenyew umefundishwa na hao hao walim ambao leo unawaponda kuwa wanatafsiri notes
DONT HURT THE HANDS THAT FEEDS U
Walim wanafanya kazi kubwa sana katika jamii ya ss
Nyie wazaz mnazalisha watt wenye uwezo mdogo halaf leo hii kuwalaumu wao hawajui kufundisha