Kichaka12
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 296
- 259
Habri zenu wadau wa elimu........
wale walimu na wadau wengine wa elimu naomba wachangie tofauti ya kufundisha na kutafsiri notes ili kuwa update walimu na kuongeza ufanisi katika masaala mazima ya kujifunza....
je ni walimu wa masomo yapi hasa ambao wenyewe wanaingia class kama kutfsir tu notes na sio kufundisha...
lets talk together.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA WADAU WOTE WA ELIMU.....
wale walimu na wadau wengine wa elimu naomba wachangie tofauti ya kufundisha na kutafsiri notes ili kuwa update walimu na kuongeza ufanisi katika masaala mazima ya kujifunza....
je ni walimu wa masomo yapi hasa ambao wenyewe wanaingia class kama kutfsir tu notes na sio kufundisha...
lets talk together.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA WADAU WOTE WA ELIMU.....