ngusillo, Ingekuwa kweli Kama wasingemfukuza. Angetoka mwenyewe. Ni rahisi kurudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuhakilishia hii ni michezo ya kizazi cha CCM kilichoshindwa na kukosa maarifa. Kikundi hiki haramu kinawalazimisha wananchi wasio na hatia kuendelea kuteketea kwa maradhi, ukosefu wa elimu sahihi, ujinga na umaskini.
Mimi nimeapa kuipigania kweli mpaka nitakapoona hakuna watoto wanaokufa kwa maradhi yaliyosahauliwa na nchi za wenzetu. Nitakaa kimpa pale nitakapoona hakuna udhalimu na wizi wa waziwazi.
Pale nitalapoona mwananchi wa Tanzania anaweza kumchagua kiongozi anayemtaka. Pale mwananchi atakapoandika katiba anayoitaka na wawakilishi kutunga sheria zinazomsaidia mwananchi.
CCM imetugeuza sisi wananchi kama mifugo yao au kwa haraka Magufuli ameamua kuifanya nchi itumbukizwe kwenye maangamizi ya lazima.
Nawaonea sana huruma watanzania hasa mnaoshabikia maangamizi badala ya kulia, kuomboleza na kujuta.