Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,474
- 37,745
Hapo kwenye Ku - *execute* nimekuelewa zaidi.Nao watakatwa kama ikishindikana kuwa execute
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye Ku - *execute* nimekuelewa zaidi.Nao watakatwa kama ikishindikana kuwa execute
Umeelewaje mkuu kuwa watampyupyu au
Hiyo ndiyo greedy of powerSiasa za bongo nafasi flani za uongozi ni za mtuu maalum sasa akijitokeza mtu kutaka hiyo nafasi ni kung'olewa tu au kuitwa msaliti ,mkosa nidhamu,
Sent using Jamii Forums mobile app