mlokole
Member
- Dec 8, 2006
- 14
- 3
Wana ukumbi twambieni nyie mlooko karibu huko na sakata hili la kufukuzwa kwa aliyekuwa Jaji "Makamba" (Bin Manyuzi wa Bin Ununu wa Bin Utembo) eti wale wote walioamuliwa kesi zao na Jaji huyo wameanza kufuatilia ili mahakama ibatilishe uwamuzi wa kesi hizo kwa kuwa huwenda Jaji huyo alikuwa ameshauchapa huo ulevi wakati alipokuwa akihukumu kesi yeyote katika hizo kama shutuma zinavyomkabili. Wana ukumbi tuambieni kama mmesikia kitu chochote juu ya hili.