leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,767
- 1,703
Ktk kipindi hiki cha homa ya dengue naona kuna umuhimu wa kufukiza simu ya kuuwa wadudu mbalimbali ktk nyumba tunazoishi na familia zetu ili kujikinga na maradhi ikiwemo hoja ya dengue. Je ni sumu gani inatumika na matumizi na matumizi yake ni vipi?natakiwa kutumia mara ngapi kwa mwaka?