Kufufuka kwa wafu - Ni maajabu yanayoendelea kwa kasi nchini huku wanahabari/jamii wakizipa nafasi ndogo kama habari zinazohitaji uchunguzi wa kina

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,760
35,205
Habari za watu kufa na kuzikwa na baadae kupatikana wakiwa hai ni za kushangaza mnooo.

Yaani mtu amekufa kwa kuugua au ajali au ghafla tuu, hospitalini wanahakikisha amekufa na wanatoa cheti cha kifo na mwili mnakadhiwa, mnaenda kuzika na viongozi wa serikali za mtaa, viongozi wa dini na familia wanashiriki na kusema Mungu amempenda zaidi.

Imagine wafiwa wanaomboleza na kusahau kisha baada ya muda marehemu anapatikana yupo hai katika hali tata. Hili jambo ni la kutisha na kushangaza sana na ni jambo linalodhihirisha uwepo watu wengi wanaodhaniwa wamekufa lakini inawezekana kabisa wapo kama walivyopatikana hawa.



Waandishi wa habari nadhani huu ni muda muafaka wa kulifanyia hili jambo habari za uchunguzi wa kina. Uchunguzi ambao utasaidia kujua haswa ni nini kinatokea hadi binadamu anaonekana amekufa, tena kitabibu kabisa mahospitalini, anazikwa na kisha anapatika akiwa hai.



Hizi habari zinagusa uhai wa mwanadamu lakini bahati mbaya hazipewi airtime kivileee na medias rasmi wala zile za udaku wala hazifanyiwi uchunguzi utakaoisaidia jamii mbeleni. Badala yake habari Zinazokik ni zile za Connections (ngono) na hapa ndio utagundua nguvu gani imeshikilia mitandao ya kijamii



Mungu atusaidie kumtafuta yeye na nguvu zake
 
Ata Mm baba yetu Alikufa mwaka 2003 , lakini chaajabu anaonekana mpaka leo akiwa na manywele marefu uko kijijin kwetu , na kuna wakati anawatoke kaka zangu ghafla na kupotea, Najitahidi nipate hela Nikatafute kibali Manispaa nifukue kaburi lake .

Maana alikufa alikufa kifo cha hospitali kabisa na hati ya kifo ipo na aliugua kwa week mbili akalazwa KCMC Moshi.

Ingawa, ata alipokufa watu walishaanza kumshuku Mama mkubwa wetu kwa kuwa ni mchawi na ndio alikuwa mke mkubwa wa baba yangu , na ndiye aliyekuwa naye na ugomvi wamuda mrefu kuhusu kuuza nyumba, ambapo baba alitaka kuuza nyumba ili agawe kwa watoto wake waliokuwa wanateseka ili hali alijenga nyumb hiyo kwaajili ya watoto ila baadaye baada ya miaka 25, yakuachana na huyu mke mkubwa na aka oa na kuzaa na mwanamke mwingine na akawa kwake na watoto wake. ghafla maugomvi yaliibuka mzee akawa napiga na kukufukuza watoto, na mke mdogo ghafla aliugua karibi kufa, akaja chukuliwa na ndugu kupelekwa natibabuni, andani yaweek hiyo hiyo ghalfa Mke mkubwa aliye kuwa ameachana na baba kwa miaka25,. na akawa alishaendelea na maisha yake uko mikoa mingne na kuzaa mtoto na mwanaume mwingie, tuka shangaa amerudi na mzee akawa kama chinzi hakumbuki watoto wa mke mdogo, na anapelekeshwa kama mtoto , mke mdogo alipo pona maradhi yaliyo shindikana mahospitalin mpaka akaenda kutibiwa kwa jadi ndio akapona , aka kaa mbali kabisa na ile nyumba na akaanza kulea watoto wake mwenyewe ingawa Nyumba walijenga mama yangu na baba ila aliisusa kabisa,

Tukiwa tunaishj maisha yetu, miaka ikapita tukasikia Mzee akilinzime mjia anawakumbuka watoto wake na anapiga simu kwa ndugu zake kutaka kujua tupo wapi, ingawa baada ya muda tena akili zina mpotea anasema hajui kama ana watoto wengine,

Baada ya Muda tena akili zika mjia akanza fujo anataka Hati ya Nyumba , alipo onyeshwa aka kuta jina limebadilika, yule mama. sijui alifanyaje akaweka jina lake, alipotaka mwanasheria wake ampe zile karatasi zilizokuwa zime wekwa sihihi yake ya kwamba nyumba ni ya watoto wake aliyo zaa na mke mkubwa, Mwanasheria aka mwambia mbona ulikujaga hapa na mkeo mkubwa ukaziomba, na ukazichana ukiwa naye mkachukua na hati ya nyumba mkaondoka, Baba akashangaa sana akasema mbona hajawahi fanya hivyo?

Kwanzia hapo akili ika mkaa sawa, akawa anataka kuuza ile nyumba awatafute wanawe agawie chochote kitu, ikiwa ni mitaji ya biashara , maana aliambiwa watoto wake wana maisha mabaya sana mtaani, Purukushani zikanza na mke mkubwa uko ndani, hapa kaliki ni mapanga na kufukuzana.

Mambo yaka enda , ghafla tukaambiwa mzee anau umwa kalazwa, ana sukari, tuka muhudumia kwa week 2 KCMC , akafariki tuka zika.

Lakin tangu amefariki vituko vya kuonekana kwake vipo kila wakati, mara leo amuone huyu , kesho aonekane na yule, wanasema haongei ila ankuwa na mnyele marefu na kucha kubwa alafu uso una kama ukurutu na nimchafu sana, ila ukimsogelea uka mwita kwa jina anapotea.

Watu watatu katika nyakat tofaut waha muona ikiwamo ndugu wa wili na majirani wa kule kijijjn.

Nimepanga kuomba manispaa wanipe kibali nikafukue kaburi.. Hasa nikipata hela.

Mungu anisaidie Wakati ufike nikaone kama kweli kule kaburini yupo kama tulivyo mzika na mifupa yake au hakuna kitu.
 
Hapo kwa Kuhani wala usiangaike na huo ushuhuda unaotolewa maana hakuna kitu hapo. Mjini mipango.

Kusema mjini mipango bila kwenda kuhakikisha na kuleta maelezo na vielelezo nayo inaonekana kuwa uongouongo. Yeye ana watu wanaosema wamefufuka na wanajieleza na wewe umpinge kwa kuthibitsha kwamba hawakuwahi kufa wala kufufuka.




Achana na hilo la Kuhani, la hawa hapa unaliongeleaje




Na huyu je


Wapo wengi
 
Ata Mm baba yetu Alikufa mwaka 2003 , lakini chaajabu anaonekana mpaka leo akiwa na manywele marefu uko kijijin kwetu , na kuna wakati anawatoke kaka zangu ghafla na kupotea, Najitahidi nipate hela Nikatafute kibali Manispaa nifukue kaburi lake .

Maana alikufa alikufa kifo cha hospitali kabisa na hati ya kifo ipo na aliugua kwa week mbili akalazwa KCMC Moshi.

Ingawa, ata alipokufa watu walishaanza kumshuku Mama mkubwa wetu kwa kuwa ni mchawi na ndio alikuwa mke mkubwa wa baba yangu , na ndiye aliyekuwa naye na ugomvi wamuda mrefu kuhusu kuuza nyumba, ambapo baba alitaka kuuza nyumba ili agawe kwa watoto wake waliokuwa wanateseka ili hali alijenga nyumb hiyo kwaajili ya watoto ila baadaye baada ya miaka 25, yakuachana na huyu mke mkubwa na aka oa na kuzaa na mwanamke mwingine na akawa kwake na watoto wake. ghafla maugomvi yaliibuka mzee akawa napiga na kukufukuza watoto, na mke mdogo ghafla aliugua karibi kufa, akaja chukuliwa na ndugu kupelekwa natibabuni, andani yaweek hiyo hiyo ghalfa Mke mkubwa aliye kuwa ameachana na baba kwa miaka25,. na akawa alishaendelea na maisha yake uko mikoa mingne na kuzaa mtoto na mwanaume mwingie, tuka shangaa amerudi na mzee akawa kama chinzi hakumbuki watoto wa mke mdogo, na anapelekeshwa kama mtoto , mke mdogo alipo pona maradhi yaliyo shindikana mahospitalin mpaka akaenda kutibiwa kwa jadi ndio akapona , aka kaa mbali kabisa na ile nyumba na akaanza kulea watoto wake mwenyewe ingawa Nyumba walijenga mama yangu na baba ila aliisusa kabisa,

Tukiwa tunaishj maisha yetu, miaka ikapita tukasikia Mzee akilinzime mjia anawakumbuka watoto wake na anapiga simu kwa ndugu zake kutaka kujua tupo wapi, ingawa baada ya muda tena akili zina mpotea anasema hajui kama ana watoto wengine,

Baada ya Muda tena akili zika mjia akanza fujo anataka Hati ya Nyumba , alipo onyeshwa aka kuta jina limebadilika, yule mama. sijui alifanyaje akaweka jina lake, alipotaka mwanasheria wake ampe zile karatasi zilizokuwa zime wekwa sihihi yake ya kwamba nyumba ni ya watoto wake aliyo zaa na mke mkubwa, Mwanasheria aka mwambia mbona ulikujaga hapa na mkeo mkubwa ukaziomba, na ukazichana ukiwa naye mkachukua na hati ya nyumba mkaondoka, Baba akashangaa sana akasema mbona hajawahi fanya hivyo?

Kwanzia hapo akili ika mkaa sawa, akawa anataka kuuza ile nyumba awatafute wanawe agawie chochote kitu, ikiwa ni mitaji ya biashara , maana aliambiwa watoto wake wana maisha mabaya sana mtaani, Purukushani zikanza na mke mkubwa uko ndani, hapa kaliki ni mapanga na kufukuzana.

Mambo yaka enda , ghafla tukaambiwa mzee anau umwa kalazwa, ana sukari, tuka muhudumia kwa week 2 KCMC , akafariki tuka zika.

Lakin tangu amefariki vituko vya kuonekana kwake vipo kila wakati, mara leo amuone huyu , kesho aonekane na yule, wanasema haongei ila ankuwa na mnyele marefu na kucha kubwa alafu uso una kama ukurutu na nimchafu sana, ila ukimsogelea uka mwita kwa jina anapotea.

Watu watatu katika nyakat tofaut waha muona ikiwamo ndugu wa wili na majirani wa kule kijijjn.

Nimepanga kuomba manispaa wanipe kibali nikafukue kaburi.. Hasa nikipata hela.

Mungu anisaidie Wakati ufike nikaone kama kweli kule kaburini yupo kama tulivyo mzika na mifupa yake au hakuna kitu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Pole sana WatesiWETU

Kuna unaloweza kufanya kubwa zaidi kabla ya kufukua kaburi. Mtafute Mungu na nguvu zake atakuonyesha mengi
 
Kweli sio kila kifo ni cha kweli!!

Nini hutokea?

Kuna nguvu gani inatumika kufanya mtu aonekane amekufa?

Inakuaje kwa macho na kwa njia za kisayansi inathibitika amekufa na anazikwa na baadae anakutwa hai?

Uhai wa mtu ni kitu kikubwa na thamani mno, ni nguvu gani inatakiwa kuzuia matukio kama haya?

Kwani jamii haioni umuhimu wa kutoa hizi habari kwa ukamilifu kwa kushirikisha wadau ambao ni mfufuka, wafiwa, watu wa afya/mahospitali, viongozi wa dini na wajamii pamoja na kututhibitishia nini kilichopo kwenye makaburi ya wafufuka?
 
Wizara ya Afya Tanzania watu wenu mnaothibitishaga wamekufa na jamii ikawazika wanarudi huku wakiwa hai.

Mnaliongeleaje hili? Msije kusema halina ushahidi maana records zao mnazo, wafufuka wapo, wazikaji wapo na makaburi yapo pia.

Tuambieni hili limekaaje?

Mimi naamini kipo cha kufanya kabla ya kufika huko kwa kufa na kufufuka. Kuondoka kwa mtu kwenye familia ni pigo kubwa kijamii hata kiuchumi kwa familia hiyo maana anaweza kufa aliye tegemeo la familia au akafa baada ya kuigharimu sana familia.

Kwa maana nyingine kama kifo ni cha uongo (kiinimacho) basi hata magonjwa au vyanzo vya hivyo vifo ni vya uongo au viini macho

Tukiweza kutegua hili haitakua ahueni kwa familia tuu, hata wizara ya afya itapata ahueni kwa kupunguza budget yake kwenye kudeal na magonjwa na vifo fake
 
Hawa watu mimi binafsi nachoka naudhika nasumbuka natingwa kwa utapeli huu
Mbona huwa ni watu wa maisha duni tu kwani wenye pesa hawafi?
Mochwari zhospitali zipo mbona hawaendi huko kuponya watu
Hi kuwafungulia mashtaka iwe fundisho kwa wengine
 
Wizara ya Afya Tanzania watu wenu mnaothibitishaga wamekufa na jamii ikawazika wanarudi huku wakiwa hai.

Mnaliongeleaje hili? Msije kusema halina ushahidi maana records zao mnazo, wafufuka wapo, wazikaji wapo na makaburi yapo pia.

Tuambieni hili limekaaje?

Mimi naamini kipo cha kufanya kabla ya kufika huko kwa kufa na kufufuka. Kuondoka kwa mtu kwenye familia ni pigo kubwa kijamii hata kiuchumi kwa familia hiyo maana anaweza kufa aliye tegemeo la familia au akafa baada ya kuigharimu sana familia.

Kwa maana nyingine kama kifo ni cha uongo (kiinimacho) basi hata magonjwa au vyanzo vya hivyo vifo ni vya uongo au viini macho

Tukiweza kutegua hili haitakua ahueni kwa familia tuu, hata wizara ya afya itapata ahueni kwa kupunguza budget yake kwenye kudeal na magonjwa na vifo fake
daah tuna fake hadi vifoo...!!?
 
Habari za watu kufa na kuzikwa na baadae kupatikana wakiwa hai ni za kushangaza mnooo.

Yaani mtu amekufa kwa kuugua au ajali au ghafla tuu, hospitalini wanahakikisha amekufa na wanatoa cheti cha kifo na mwili mnakadhiwa, mnaenda kuzika na viongozi wa serikali za mtaa, viongozi wa dini na familia wanashiriki na kusema Mungu amempenda zaidi.

Imagine wafiwa wanaomboleza na kusahau kisha baada ya muda marehemu anapatikana yupo hai katika hali tata. Hili jambo ni la kutisha na kushangaza sana na ni jambo linalodhihirisha uwepo watu wengi wanaodhaniwa wamekufa lakini inawezekana kabisa wapo kama walivyopatikana hawa.



Waandishi wa habari nadhani huu ni muda muafaka wa kulifanyia hili jambo habari za uchunguzi wa kina. Uchunguzi ambao utasaidia kujua haswa ni nini kinatokea hadi binadamu anaonekana amekufa, tena kitabibu kabisa mahospitalini, anazikwa na kisha anapatika akiwa hai.



Hizi habari zinagusa uhai wa mwanadamu lakini bahati mbaya hazipewi airtime kivileee na medias rasmi wala zile za udaku wala hazifanyiwi uchunguzi utakaoisaidia jamii mbeleni. Badala yake habari Zinazokik ni zile za Connections (ngono) na hapa ndio utagundua nguvu gani imeshikilia mitandao ya kijamii



Mungu atusaidie kumtafuta yeye na nguvu zake

Tatizo Tanzania hatuna waandishi wa habari. Tunawaandishi wa magazeti na wasaka fedha you tube. Taaluma za chini, ubunifu hakuna ni full stereotyped. Siku akija Kikeke, au mwandishi kutoka BBC kuyafuatilia matukio haya, utaona vile watakavyoanza kuyakimbilia kama nyumbu. Inakarahisha.
 
Back
Top Bottom