Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Kufuatia TCRA kuzitoza faini ya Tsh 600 million kampuni Kadhaa zinazotoa huduma za mawasiliano kwa kosa la kutoa huduma chini ya kiwango nimejikuta najiuliza maswali yafuatayo?
1.Sisi walaji (watumiaji wa mtandao ya simu na mawasiliano kwa ujumla) ndio tumeathirika kwa kukosa huduma sahihi na wakati mwingine tumepata hasara kutokana na huduma mbovu TUNAFIDIWAJE?
2.Kwa nini TCRA hawaoni umuhimu kuwafidia wateja waliopata hasara badala yake wanakimbilia kuchukua faini?
Naomba ufafanuzi kwa anayejua
1.Sisi walaji (watumiaji wa mtandao ya simu na mawasiliano kwa ujumla) ndio tumeathirika kwa kukosa huduma sahihi na wakati mwingine tumepata hasara kutokana na huduma mbovu TUNAFIDIWAJE?
2.Kwa nini TCRA hawaoni umuhimu kuwafidia wateja waliopata hasara badala yake wanakimbilia kuchukua faini?
Naomba ufafanuzi kwa anayejua