Ninapata wasiwasi mkubwa sana kuelewa agenda iliyochini ya carpet kutokana na nguvu kubwa ya ghafla inayotumika kuua sifa za magufuli.
Kuwa brainswash Watanzania ili waone Magufuli was wrong and really a bad person, kunalenga kuwafanya waamini kinyume cha mema ya magufli. Magufli amefanya mambo mema sana kwa Tanzania hadi dunia nzima walimvulia kofia. Huyu mwenye kutaka kuwafumba macho Watanzania analengo la kuturejeshea Tanzania ipi?
Kusudi kubwa ni nini?
Je, ni Kwamba hakuna mtu anayeweza kuendeleza kiwango cha Maguli ihivo walio hai wanajaribu kuhalalisha viwango dhaifu ili wasiabike?
Ni kwamba chama hakina mtu kama Magufli tena na hivo wameamua kufanya kampeni dhidi ya ufanisi wa Magufuli ili kuwafanya watu waifanye refeence kwake?
Kuna mtu gani ambaye anataka kufufua Tanzania iliyokuwa imedumaa na kujaa ufisadi rushwa na kila aina ya ubadhilifu na utendaji mbovu?
Ni mtu gani mwenye nuvu huyu anayetaka kuhariibu hatua tulizofikia hata kuturudisha kwenye mikataba fisadi iliyokuwa inatuuza sisi na uzao wetu ili tuwe watumwa katika nchi yetu tukisubiri kuawa pamoja na vizazi vyetu?
Huyu binadamu asiye kuwa huruma wala haya, anataka nini hasa?
Watanzania tumkatae mtu yeyote, hasa wala wanafiki waliokuwa hata wanamwita Magu kuwa mungu wao, wanapotaka kutuyumbisha tuwafuate wao. Hawa watu hawatufai katika nchi yetu. Tuwakatae kwa nia moja. Tumpe support mama Suluhu katika kuendeleza kasi ya nuru ya taifa na tusione haya kumwambia pale anapozidiwa na mawimbi ya mafisadi ambao inaonekana wana agenda mbaya sana.
Ninaomba tupeleke habari hizi kwa kil Mtanzania. Ninaona Giza mbele tena si mbali iwapo ccm wataendelea na mchezo huu wanaoucheza ili kuturejesha kwenye ccm fisadi na rushwa.
Kuwa brainswash Watanzania ili waone Magufuli was wrong and really a bad person, kunalenga kuwafanya waamini kinyume cha mema ya magufli. Magufli amefanya mambo mema sana kwa Tanzania hadi dunia nzima walimvulia kofia. Huyu mwenye kutaka kuwafumba macho Watanzania analengo la kuturejeshea Tanzania ipi?
Kusudi kubwa ni nini?
Je, ni Kwamba hakuna mtu anayeweza kuendeleza kiwango cha Maguli ihivo walio hai wanajaribu kuhalalisha viwango dhaifu ili wasiabike?
Ni kwamba chama hakina mtu kama Magufli tena na hivo wameamua kufanya kampeni dhidi ya ufanisi wa Magufuli ili kuwafanya watu waifanye refeence kwake?
Kuna mtu gani ambaye anataka kufufua Tanzania iliyokuwa imedumaa na kujaa ufisadi rushwa na kila aina ya ubadhilifu na utendaji mbovu?
Ni mtu gani mwenye nuvu huyu anayetaka kuhariibu hatua tulizofikia hata kuturudisha kwenye mikataba fisadi iliyokuwa inatuuza sisi na uzao wetu ili tuwe watumwa katika nchi yetu tukisubiri kuawa pamoja na vizazi vyetu?
Huyu binadamu asiye kuwa huruma wala haya, anataka nini hasa?
Watanzania tumkatae mtu yeyote, hasa wala wanafiki waliokuwa hata wanamwita Magu kuwa mungu wao, wanapotaka kutuyumbisha tuwafuate wao. Hawa watu hawatufai katika nchi yetu. Tuwakatae kwa nia moja. Tumpe support mama Suluhu katika kuendeleza kasi ya nuru ya taifa na tusione haya kumwambia pale anapozidiwa na mawimbi ya mafisadi ambao inaonekana wana agenda mbaya sana.
Ninaomba tupeleke habari hizi kwa kil Mtanzania. Ninaona Giza mbele tena si mbali iwapo ccm wataendelea na mchezo huu wanaoucheza ili kuturejesha kwenye ccm fisadi na rushwa.