Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
kama ndo hivi where are we heading to???? TANZANIAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
Well-saidNtakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa aliyotendewa Ulimboka yametendwa na serikali/polisi. Naomba Mungu amlaani sasa hivi na amuondoe duniani, yeyote aliyepanga na kutekeleza uovu huu dhidi ya Dr Ulimboka.
Kwani dr. Ulimboka anaumwa nini?
Ningependekeza Maiti zipelekwe ikulu
Kwani dr. Ulimboka anaumwa nini?
duh sasa hapo kama baba kamwaga ugali,mama kamwaga mboga mbona watoto watalala njaa,mmmh hii serikali ya jk!
Ningependekeza Maiti zipelekwe ikulu
Huyu Ulimboka yaliyomkuta ni sawa kabisa. Anaanzisha mgomo wananchi wanakufa kama utitiri. Waliompiga nawapongeza, ntaka wawatafute na Kina Ulimboka wengine wawafanyizie effectively. Hatuwezi kuua watu kibao kwa sababu ya maslahi ya wachache. Piga tena hawa wapuuzi.