mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,851
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unasema?
Acheni KICK wakati Dunia inakabiliwa na janga hili. Pia nikujize sio wageni pekee wanaoleta ugonjwa huu. Kuna visa tayari ni ndugu zetu wametoka navyo Huko nje na Serikali haingeweza kuwakataza kurudi kwako wakati ulikuwa bado haujaingia nchiniWana bodi,nataka kufanya public interest litigation kuchallenge ukaidi wa wizara ya uchukuzi.
Kwanza kabisa Mimi siyo mwanasheria Mimi ni 'mpima ardhi' aka land saveya.
Back kwenye mada, ni hivi kufuatia Kusambaa kwa ugonjwa wa corona (covid 19),hapa nchini kwetu ninakusudia kufungua kesi mahakama kuu ya Tanzania (masjala kuu Dar), lengo hasa ni kumshitaki waziri wa miundombinu kwa kukataa kufunga viwanja vya ndege ,bandari (except bandari ya dar) ili kuzuia wageni ambao kimsingi ndiyo wanaosambaza ugonjwa huu wa corona nchini,kwa maana kwamba kitendo hicho kimechagiza kusambaa kwa ugonjwa huo, kwa upande wa wizara ya afya hii imeshindwa kusimamia kidete suala hilo la kuhakikisha wizara ya miundombinu haikiuki utaratibu we kuzuia watu wasiingie wala kutoka hapa tanzañia,
Mwanasheria mkuu anashtakiwa kwa sababu ndiyo mtetezi wa serikali pale inaposhitakiwa.
Amri ninazotaka kuziomba mahakamani ni hizi
1.mahakama kuu ya Tanzania itamke kwanza kitendo cha waziri/wizara ya miundombinu kukaidi kufunga viwanja vya ndege, bandari(except ya dar),mipaka nk kinahatarisha Afya na usalama wa wananchi wa Tanzania hivyo kitendo hicho ni batili
2.mahakama kuu iiamrishe wizara ya miundombinu kufunga mipaka,viwanja vya ndege, bandari kwa manufaa ya umma 'public interest'
3.mahakama kuu iseme kwamba kwenye majanga kama haya ya corona principle itakayo tumika ni 'the best interest of the citizen of the United Republic of Tanzania' yaani 'our welfare first' no matter what, kwa kiswahili ni kwamba kwa tatizo lolote lile tutaangalia maslahi yetu watanzania, na ustawi wetu na ustawi unajumuisha 'Afya yetu'
Naomba kuwasilisha.
Saveya (S)
Land surveyor.
Chanzo ni wageni huu ugonjwa unaletwa na wageniAcheni KICK wakati Dunia inakabiliwa na janga hili. Pia nikujize sio wageni pekee wanaoleta ugonjwa huu. Kuna visa tayari ni ndugu zetu wametoka navyo Huko nje na Serikali haingeweza kuwakataza kurudi kwako wakati ulikuwa bado haujaingia nchini
Kuandika chochote ni kuchangia pia!!Mkuu changia na ww
Washakufa watano na kibao wako ICU nenda mahakami kamanda na usimsahau Bashite kwenye hiyo kesi
Ndiyo. Nafikiri umenipata vizuri. Mimi sina tabia ya kutpoka mambo nisiyo na uhakika nayo.
Kwa kifupi Trump, Rais wa Marekani alikuwa yuko right.
CEO wa kampuni ya BAYER amethibitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri quote yanguChanzo ni wageni huu ugonjwa unaletwa na wageni
Hausafirishwi na upepo.
Hao watanzania wametolea huko huko nchi walizokuwa yaani kwa wakazi wa nchi walizotoka mfano China,Italy nkSoma vizuri quote yangu
Nimekuambia wako Watanzania wamepatikaba na haya maradhi hao sio wageni Bali waneyaingiza nchini wakitoka kwenye Mishe zao na kurudi home wakiwa wameambukizwa Huko watokako