Kufuatia kusambaa kwa Corona (covid-19); Nakusudia kumshitaki Waziri wa Afya, Miundombinu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Mbona kama umeandika kama una hasira mkuu?
Kweli kabisa waache corona ituathiri hivi hivi ?
hasira lazima iwepo hivi unaona wanavotufanyia ni sawa? huyu bashite anaitisha mikusanyiko akijua hairuhusiwi inamana huyu kajitoa ufaham kaamua wacha niwakusanye watanzania waambukizane alafu sirikale inamtazama tu kisa ni MTOTO WA MZEE BABA alafu huku kwenye madaldala ukisimamisha tu mtu mmoja unashushwa na bakora juu.. sasa hii utasema nchi inapambana au inatesa wananchi
 
Sasa mkuu, kama italy hawakufunga bandari,airports na sisi tusifunge?
Swali Je unajua mifumo ya Afya ya Italia ni imara na maradufu kuliko ya Tanzania? Ndiyo maana wao labda pengine wakaona wasifunge bandari,airports!
Sasa sisi Tanzania kwa mifumo hii mibovu ya Afya si tufunge tu ports,airports na mipaka kwa sababu uwezo wa kupambana na majanga yakiafya ni mdogo mno,ukizingatia bajeti kubwa inaelekezwa kwenye stieglers gorge na sgr
Sio lazima itangazwe kuwa mipaka imefungwa. Kila nchi inaiona hali halisi na ndio sababu huoni ndege angani tangu ugonjwa huu upambe moto.

Halafu dhana ni mbovu kuamini kwamba kila mgeni wa sasa ndio mleta ugonjwa, kuna watu kwa sasa wanaendeleza kusambaza hii kitu na ni ndugu na jamaa zetu wa karibu.
 
Umshtaki mwanasheria na waziri wa afya wakati huu ugonjwa ukiwa umepamba moto, hizo ni akili fulani ndogo sana.

La muhimu ni kisisitizia juu ya namna za kujingika ili ugonjwa usiendelee kusambaa. Tanzania haijawahi kuwa kisiwa na haitakuja iwe.

Tunapoijadili corona tuwe na mtazamo wa janga la dunia.
 
Umshtaki mwanasheria na waziri wa afya wakati huu ugonjwa ukiwa umepamba moto, hizo ni akili fulani ndogo sana.

La muhimu ni kisisitizia juu ya namna za kujingika ili ugonjwa usiendelee kusambaa. Tanzania haijawahi kuwa kisiwa na haitakuja iwe.

Tunapoijadili corona tuwe na mtazamo wa janga la dunia.
Kwa hapa tulipofikia idadi ya wagonjwa 20,naweza kusema bado haujapamba moto, serikali inatakiwa kufunga airports, bandari,mipaka ili kuzuia kupamba moto na kumaliza kabisa new cases za wagonjwa wa corona,
Nasisitiza ugonjwa haujapamba moto hapa nchini kwetu ila tuna uwezo pia wa kuzuia usipambe moto
 
Sio lazima itangazwe kuwa mipaka imefungwa. Kila nchi inaiona hali halisi na ndio sababu huoni ndege angani tangu ugonjwa huu upambe moto.

Halafu dhana ni mbovu kuamini kwamba kila mgeni wa sasa ndio mleta ugonjwa, kuna watu kwa sasa wanaendeleza kusambaza hii kitu na ni ndugu na jamaa zetu wa karibu.
Hao wanaosambaza chanzo ni mgeni aliyeshuka kwenye ndege,kuvuka mipaka na kuingia Tanzania.
 
Additionally
Nimeuliza mwanasheria wangu kaniambia kwamba tunatakiwa kutuma 'notice' ya siku 90 (notice of intention to Sue), itapelekwa kwa wizara!idara husika na kwa 'solicitor general'
Hivyo basi nimeshauriwa tuandae hati ya dharura (certificate of urgency)
Achana na ndoto hizo mkuu. Hivyo wewe unacheza na wadhifa wa waziri au Rais? Mimi nakuomba usipoteze mda wako. Tafuta mambo mengine ambayo atakusaidia katika katika maisha yako.

Kama unausaka umaarufu please, fanya hakuna mtu atakaye kuzuia. Lakini huwezi kumshtaki Rais Tanzania na ukashinda. Hiyo sahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na ndoto hizo mkuu. Hivyo wewe unacheza na wadhifa wa waziri au Rais? Mimi nakuomba usipoteze mda wako. Tafuta mambo mengine ambayo atakusaidia katika katika maisha yako.

Kama unausaka umaarufu please, fanya hakuna mtu atakaye kuzuia. Lakini huwezi kumshtaki Rais Tanzania na ukashinda. Hiyo sahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simshitaki rais namshitaki waziri
 
Wana bodi,nataka kufanya public interest litigation kuchallenge ukaidi wa wizara ya uchukuzi.
Kwanza kabisa Mimi siyo mwanasheria Mimi ni 'mpima ardhi' aka land saveya.

Back kwenye mada, ni hivi kufuatia Kusambaa kwa ugonjwa wa corona (covid 19),hapa nchini kwetu ninakusudia kufungua kesi mahakama kuu ya Tanzania (masjala kuu Dar), lengo hasa ni kumshitaki waziri wa miundombinu kwa kukataa kufunga viwanja vya ndege ,bandari (except bandari ya dar) ili kuzuia wageni ambao kimsingi ndiyo wanaosambaza ugonjwa huu wa corona nchini,kwa maana kwamba kitendo hicho kimechagiza kusambaa kwa ugonjwa huo, kwa upande wa wizara ya afya hii imeshindwa kusimamia kidete suala hilo la kuhakikisha wizara ya miundombinu haikiuki utaratibu we kuzuia watu wasiingie wala kutoka hapa tanzañia,
Mwanasheria mkuu anashtakiwa kwa sababu ndiyo mtetezi wa serikali pale inaposhitakiwa.

Amri ninazotaka kuziomba mahakamani ni hizi

1.mahakama kuu ya Tanzania itamke kwanza kitendo cha waziri/wizara ya miundombinu kukaidi kufunga viwanja vya ndege, bandari(except ya dar),mipaka nk kinahatarisha Afya na usalama wa wananchi wa Tanzania hivyo kitendo hicho ni batili

2.mahakama kuu iiamrishe wizara ya miundombinu kufunga mipaka,viwanja vya ndege, bandari kwa manufaa ya umma 'public interest'

3.mahakama kuu iseme kwamba kwenye majanga kama haya ya corona principle itakayo tumika ni 'the best interest of the citizen of the United Republic of Tanzania' yaani 'our welfare first' no matter what, kwa kiswahili ni kwamba kwa tatizo lolote lile tutaangalia maslahi yetu watanzania, na ustawi wetu na ustawi unajumuisha 'Afya yetu'

Naomba kuwasilisha.

Saveya (S)
Land surveyor.
Pingamizi la kwanza litakuwa ni kwamba mahakama huwa haishughuliki na hypothetical issues, kwa hiyo usipoteze muda.
 
Pingamizi la kwanza litakuwa ni kwamba mahakama huwa haishughuliki na hypothetical issues, kwa hiyo usipoteze muda.
Nimemuuliza mwanasheria wangu kaniambia pingamizi lolote lile lazima li-base kwenye purely point of law yaani lihusu hoja za kisheria, kaniambia pia ukasome kesi ya Mukisa biscuit imeeleza vizuri kuhusu pingamizi.

Land saveya
 
wana bodi bado lengo langu na kufungua kesi lipo,
Natunaona jinsi waziri wa uchukuzi alivyokaidi kufunga mipaka,viwanja vya ndege,bandari jinsi linavyoleta madhara kwetu watanzania
 
Wana bodi,nataka kufanya public interest litigation kuchallenge ukaidi wa wizara ya uchukuzi.
Kwanza kabisa Mimi siyo mwanasheria Mimi ni 'mpima ardhi' aka land saveya.

Back kwenye mada, ni hivi kufuatia Kusambaa kwa ugonjwa wa corona (covid 19),hapa nchini kwetu ninakusudia kufungua kesi mahakama kuu ya Tanzania (masjala kuu Dar), lengo hasa ni kumshitaki waziri wa miundombinu kwa kukataa kufunga viwanja vya ndege ,bandari (except bandari ya dar) ili kuzuia wageni ambao kimsingi ndiyo wanaosambaza ugonjwa huu wa corona nchini,kwa maana kwamba kitendo hicho kimechagiza kusambaa kwa ugonjwa huo, kwa upande wa wizara ya afya hii imeshindwa kusimamia kidete suala hilo la kuhakikisha wizara ya miundombinu haikiuki utaratibu we kuzuia watu wasiingie wala kutoka hapa tanzañia,
Mwanasheria mkuu anashtakiwa kwa sababu ndiyo mtetezi wa serikali pale inaposhitakiwa.

Amri ninazotaka kuziomba mahakamani ni hizi

1.mahakama kuu ya Tanzania itamke kwanza kitendo cha waziri/wizara ya miundombinu kukaidi kufunga viwanja vya ndege, bandari(except ya dar),mipaka nk kinahatarisha Afya na usalama wa wananchi wa Tanzania hivyo kitendo hicho ni batili

2.mahakama kuu iiamrishe wizara ya miundombinu kufunga mipaka,viwanja vya ndege, bandari kwa manufaa ya umma 'public interest'

3.mahakama kuu iseme kwamba kwenye majanga kama haya ya corona principle itakayo tumika ni 'the best interest of the citizen of the United Republic of Tanzania' yaani 'our welfare first' no matter what, kwa kiswahili ni kwamba kwa tatizo lolote lile tutaangalia maslahi yetu watanzania, na ustawi wetu na ustawi unajumuisha 'Afya yetu'

Naomba kuwasilisha.

Saveya (S)
Land surveyor.
Umekosa kazi za kufanya, ndo nyie Makonda anawatafuta mkazibue mitaro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom