THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Safi sana.mama ajifunze kufuata taratibu.
CHADEMA wasivyopenda hijab! Nadhani nayo ilichangia kwa kiasi kikubwa hilo sakata! Hawa wahuni wamepoteza imani hata ile ndogo tuliyokuwa nayo juu yao!
Duu, jimama anatia huruma!
<br />CHADEMA wasivyopenda hijab! Nadhani nayo ilichangia kwa kiasi kikubwa hilo sakata! Hawa wahuni wamepoteza imani hata ile ndogo tuliyokuwa nayo juu yao!
Hii ndio faida ya kuwapa vijana pombe na bangi. Sasa ndio watanzania watajua kuwa hawa CDM ni wapenda fujo. Kama kila jambo mtalitatua kwa fujo basi hii nchi mkipewa itawaka moto.
<br />CHADEMA wasivyopenda hijab! Nadhani nayo ilichangia kwa kiasi kikubwa hilo sakata! Hawa wahuni wamepoteza imani hata ile ndogo tuliyokuwa nayo juu yao!
CHADEMA wasivyopenda hijab! Nadhani nayo ilichangia kwa kiasi kikubwa hilo sakata! Hawa wahuni wamepoteza imani hata ile ndogo tuliyokuwa nayo juu yao!
Tuwe wakweli chadema ni wavunjaji wa sheria, hapa wamefanya kosa kubwa kuchukua sheria mkononi na kumdharirisha mteule wa rais ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani
<br />Hii ndio faida ya kuwapa vijana pombe na bangi. Sasa ndio watanzania watajua kuwa hawa CDM ni wapenda fujo. Kama kila jambo mtalitatua kwa fujo basi hii nchi mkipewa itawaka moto.